byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,223
- 3,578
- Thread starter
- #21
Hata mimi nimejiuliza Hilo mkuu, inasikitisha sana!!Ingawa sielewi BAKWATA wanafanya hili kwa faida ya nani!??? Moja ya siku niliyo kwazika ni leo na waislam tumekaa kimya tukiendelea kugawanywa kimafungu katika siku hizi muhimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyezi Mungu atuongoze!!!