- Thread starter
- #21
Kati ya watu wa JF naotaka kuwaona uko kwenye top 5,you are prolific girl and i can just imagine the way your house is spotless and organised and a to do list on the fridge door and even ratiba ya siku/muda wa sarakasi zileee lol!You have melted all my anxiousness....lol...
(bana mbona niliweka vielelezo kwenye mabano)
Ni vile tu niliona nipo mbali saana na wandani wangu....lol
Thanks smily hope you smile like that always.Asante sana rafiki..............hope you had great day.Nakutakia siku njema.Stay blessed.
Hizi taarifa ulizonazo sio sahihi hatuwezi 'kuvurumishana' na TF au mtu yoyote huku tayari binti kajaa tele ndani kwangu,nikilegea si Husninyo atanikimbia wajameni.wee uporoto,hivi ni kweli we na TF mnavurumishana kumdaka Husninyo utadhani mpira wa kona? Mshindwe na mlegee!
Mubarak wa Eid.
Hii si sapraisi beb,halafu si umeona jina lako ni la kwanza ?Yaani Sweetheart tumekuwa wote the whole day ila hata hujanambia kama umetuma salamu huku! Lol.
Ahsante kwa outing ya jana.