Takabala llahu minna waminkumNawatakia wana jamiiforum wenzangu wote eid njema......
Tusherehekee kwa amani na upendo....
Kesho karibu dunia nzima inaadhimisha sikukuu ya eid...
Hii siyo eid ya wale kina sheikh alhadi wa bakwata/ccm......
Eid njemaView attachment 1116969
Serikali ya Kenya imetangaza eid kuwa jumatano....
Naona mnataka kufanya yenu ili iwe looong weekend😀Lakini si inategemea kuandama kwa mwezi mkuu sisi hapa nyumbani eid mpk alhamisi
Naona mnataka kufanya yenu ili iwe looong weekend