- Thread starter
- #61
shem bana hayo mambo ya usiku sijui chumbani ya kizamani sisi mda wowote na eneo lolote sarakasi kwa sana tu lol!Hahaha! Swahiba kwa mkwara sikuwezi, khaaa ndio nini kumtisha mwenzio wakati katokea gerezani leo?? Takupipia usijali, usiku sithubutu, nampenda sana my shemeji uporoto hivyo siwezi kuingilia ratiba yake ya usiku....