Eid mubarak kwa marafiki zangu wa MMU.

Eid mubarak kwa marafiki zangu wa MMU.

uporoto01

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2008
Posts
4,698
Reaction score
1,428
Nawatakia wadau wa MMU Eid njema,afya nzuri na furaha tele,kwa kipindi cha zaidi ya miaka 2 wa kuwa member hapa JF nimetokea kulipenda jukwaa hili na kufahamiana na wengi(thru keyboard),kuna wengine tunatumiana PM na wengine tumewasiliana kwa simu,sms na e-mail pia.. Siku hii naomba msamaha kwa yeyote niliyewahi kumuudhi kwa njia yoyote ile mimi ni binadamu nina mapungufu yangu.
Naomba kuwataja wachache ambao wamekuwa kama ndugu kupitia keyboard zetu,Husninyo,,Mbu,Mwanajamii,Nyamayao, Preta,Aspirin, Pakajimmy,Lizzy, klorokwini,Blackberry,Gaijin,Darkcity,Boss,Vivian,Keren,Katavi,Dena,Afrodenzi,Finest,Daughter,Aminata,Nemo,Nyani N, Russianrullete.Bebii,Voice of reason,Masanilo,Ivuga,Chatu,Ashadii,Bujibuji,Firstlady,Maria roza,Mamdenyi,King'asti,Sweetlady,Pauline,Michelle,Kiiza,Ruta,Bishanga,Kimbweka,Funza, Cheusimangala,Kaizer,Tusker,Fidel,Steve,bila kumsahau Invisible.Samahani kama jina lako limesahaulika nyie wote ni muhimu kwangu nawapenda kwa dhati.

Nawatakia sikukuu na weekend njema yenye amani na utulivu.
 
mkuu wanajibuje vile..!!??.kama vipi tuipotezee.nakutakia eid njema pia.mia
 
Eid Mubarak nawe Uporoto1,
😛oa...hopefully it was a great day kwako....😛oa

BTW ndio nalog off nipo kuugulia hapa kwa kutotajwa.... (I kid)
 
Eid Mubarak nawe Uporoto1,
😛oa...hopefully it was a great day kwako....😛oa

BTW ndio nalog off nipo kuugulia hapa kwa kutotajwa.... (I kid)
Ya Asha we ni kimbunga who has taken JF by storm in the short time that you have been with us,we are honoured by your presence here,hujui kusoma hata picha huoni lol! hebu angalia vizuri bana acha haraka.
 
Oh, thank you so much! Sikuiona hii aisee. But I had a great eid, shukran Uporoto01!
 
Ya Asha we ni kimbunga who has taken JF by storm in the short time that you have been with us,we are honoured by your presence here,hujui kusoma hata picha huoni lol! hebu angalia vizuri bana acha haraka.



You have melted all my anxiousness....lol...
(bana mbona niliweka vielelezo kwenye mabano)
Ni vile tu niliona nipo mbali saana na wandani wangu....lol
 
Asante sana rafiki..............hope you had great day.

Nakutakia siku njema.

Stay blessed.
 
wee uporoto,hivi ni kweli we na TF mnavurumishana kumdaka Husninyo utadhani mpira wa kona? Mshindwe na mlegee!
Mubarak wa Eid.
 
Dah!!! Nimekula Idd yangu kwa Faiza Foxy hadi nikapitiwa kujibu hizi salamu za Uporoto aisee Uporoto arifu natumaini Idd yako ilikuwa swafi kabisa na murua. One Love brother.
 
Hivi kumbe leo sikukuu? Khaaa!

Sasa kumbe huku kwa mkoloni nimekuja kufanya nini?

Mbarikiwe wote, ngoja nikazimue fasta
 
uporoto1 my son,
asante sana kwa baraka hizi za eid. naomba radhi sikuitika mapema manake ww na mkeo mmenikwaza kwa kutokuja kula biriyani (recipe niliibilizia kwa FF). ila mwana kwa mama hakui, nimeshawasameheni. asante kwa kuwa baraka kwetu
 
Asante sana Uporoto jana sikuiona hii ati sijui ndo hangover ,Hivi hujawahi kuniudhi kweli?
 
Yaani Sweetheart tumekuwa wote the whole day ila hata hujanambia kama umetuma salamu huku! Lol.
Ahsante kwa outing ya jana.
 
uporoto1 my son,
asante sana kwa baraka hizi za eid. naomba radhi sikuitika mapema manake ww na mkeo mmenikwaza kwa kutokuja kula biriyani (recipe niliibilizia kwa FF). ila mwana kwa mama hakui, nimeshawasameheni. asante kwa kuwa baraka kwetu

mkwe chozi lilikuwa lishaanza kunidondoka, ahsante kwa kutusamehe. Lol!
Jana son wako alinipeleka hukooo, hata jina silikumbuki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom