Nawatakia wadau wa MMU Eid njema,afya nzuri na furaha tele,kwa kipindi cha zaidi ya miaka 2 wa kuwa member hapa JF nimetokea kulipenda jukwaa hili na kufahamiana na wengi(thru keyboard),kuna wengine tunatumiana PM na wengine tumewasiliana kwa simu,sms na e-mail pia.. Siku hii naomba msamaha kwa yeyote niliyewahi kumuudhi kwa njia yoyote ile mimi ni binadamu nina mapungufu yangu.
Naomba kuwataja wachache ambao wamekuwa kama ndugu kupitia keyboard zetu,Husninyo,,Mbu,Mwanajamii,Nyamayao, Preta,Aspirin, Pakajimmy,Lizzy, klorokwini,Blackberry,Gaijin,Darkcity,Boss,Vivian,Keren,Katavi,Dena,Afrodenzi,Finest,Daughter,Aminata,Nemo,Nyani N, Russianrullete.Bebii,Voice of reason,Masanilo,Ivuga,Chatu,Ashadii,Bujibuji,Firstlady,Maria roza,Mamdenyi,King'asti,Sweetlady,Pauline,Michelle,Kiiza,Ruta,Bishanga,Kimbweka,Funza, Cheusimangala,Kaizer,Tusker,Fidel,Steve,bila kumsahau Invisible.Samahani kama jina lako limesahaulika nyie wote ni muhimu kwangu nawapenda kwa dhati.
Nawatakia sikukuu na weekend njema yenye amani na utulivu.
Naomba kuwataja wachache ambao wamekuwa kama ndugu kupitia keyboard zetu,Husninyo,,Mbu,Mwanajamii,Nyamayao, Preta,Aspirin, Pakajimmy,Lizzy, klorokwini,Blackberry,Gaijin,Darkcity,Boss,Vivian,Keren,Katavi,Dena,Afrodenzi,Finest,Daughter,Aminata,Nemo,Nyani N, Russianrullete.Bebii,Voice of reason,Masanilo,Ivuga,Chatu,Ashadii,Bujibuji,Firstlady,Maria roza,Mamdenyi,King'asti,Sweetlady,Pauline,Michelle,Kiiza,Ruta,Bishanga,Kimbweka,Funza, Cheusimangala,Kaizer,Tusker,Fidel,Steve,bila kumsahau Invisible.Samahani kama jina lako limesahaulika nyie wote ni muhimu kwangu nawapenda kwa dhati.
Nawatakia sikukuu na weekend njema yenye amani na utulivu.