Waungwana,
Nachukua fursa hii kwanza kuwaombea Watanzania wote popote pale walipo duniani kumaliza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa amani na pia kuwapa mkono wa Idd njema. Idd Mubaraka.
GAME THEORY,
..Sheikh Zayed kwanini hawajengei Waislamu wa Tanzania hata hospitali moja ya rufaa?
..huu umoja wa umma wa Waislamu uko wapi jamani?
..halafu Iran wametumia 2 Billioni kuwapa silaha Hezbollah, badala ya kusomesha madaktari na mainjinia wa Kipalestina.
..hii dunia hata sijui inakwenda wapi jamani?
NB:
..EID NJEMA KWA WATANZANIA WOTE.
Moonsighting for Shawwal 1429
The Astronomical New Moon is on Monday, September 29, 2008 at 8:12 GMT, 4:12 am EDT, 1:12 am PDT). It will not be visible on September 29 except small possibility in Ploynesian Islands. On Tuesday, September 30, it will be visible in New Zealand Australia, Indonesia, South Asia, Africa and Americas. In North America on September 30, it can be seen in Southern belt states. So, Eidul-Fitr is expected on Wednesday, October 1, most of the world, Insha-Allah. Also, according to the criteria adopted by Fiqh Council of North America, and European Council for Fatwa and Research, the first day of Shawwal is on Wednesday, October 1, 2008, which would be after completing 30 days of Ramadan.
Moonsighting.com
GAME THEORY,
..Sheikh Zayed kwanini hawajengei Waislamu wa Tanzania hata hospitali moja ya rufaa?
..huu umoja wa umma wa Waislamu uko wapi jamani?
..halafu Iran wametumia 2 Billioni kuwapa silaha Hezbollah, badala ya kusomesha madaktari na mainjinia wa Kipalestina.
..hii dunia hata sijui inakwenda wapi jamani?
NB:
..EID NJEMA KWA WATANZANIA WOTE.
Game-Theory,
..wametumia zaidi ya usd 500 million kujenga huo msikiti.
..its about time we call out these ppl, kusaidia miradi ya kijamii kwa umma wa Waislamu around the world.
..sasa kama unafahamu kwamba wana-spend zaidi ya usd 500 million kusaidia wenzao tuletee hizo data na mimi natafuta kauli yangu.