Egypt vs Tanzania Nov 5, 2009

Tusimlaumu Maximo yeye sie anayecheza wanaocheza ni wachezaje kwani wanafunzi wanapoo fundishwa darasani wakifeli ni mwalimu au wanafuzi ndio waliofeli???

Maximo amejitahidi sana kutufundisha ila sisi hatufundishiki bado vichwa vyetu ni butu itatuchukua muda sana kuelewa nini tunachohitaji kufanya tukiwa uwanjani, hapa hakuna cha kuwa amepanga timu ya yanga wala ya simba, tatizo jingine tff wanaingilia uhuru wa kocha wamwachie kocha achague timu kulingana na viwango vya wachezaji
 
Tusimlaumu Maximo yeye sie anayecheza wanaocheza ni wachezaje kwani wanafunzi wanapoo fundishwa darasani wakifeli ni mwalimu au wanafuzi ndio waliofeli???
Majukumu ya kocha wa soka huwa yanaanzia katika uteuzi wa kikosi, sasa wewe umemtetea katika majukumu yake ya ufundishaji tu. Maximo hawezi kukwepa lawama, hela zinazotolewa katika kuandaa timu ya taifa ni nyingi kuliko katika kipindi chochote kilichopita.
 
Tusimlaumu Maximo yeye sie anayecheza wanaocheza ni wachezaje kwani wanafunzi wanapoo fundishwa darasani wakifeli ni mwalimu au wanafuzi ndio waliofeli???

Maximo amejitahidi sana kutufundisha ila sisi hatufundishiki bado vichwa vyetu ni butu itatuchukua muda sana kuelewa nini tunachohitaji kufanya tukiwa uwanjani, hapa hakuna cha kuwa amepanga timu ya yanga wala ya simba, tatizo jingine tff wanaingilia uhuru wa kocha wamwachie kocha achague timu kulingana na viwango vya wachezaji

Wewe ndugu yangu upo mbali sana na mpira wa TZ, katika historia ya soka la Bongo hakuna kocha aliyepewa uhuru wa kuamua atakalo kama Maximo, hakuna kocha aliyepewa finacial support kama Maximo. Unataka kutuambia kwamba Mwalimu ahusiki na kufanya vibaya kwa mwanafunzi, kazi kweli kweli!
 
Tusimlaumu Maximo yeye sie anayecheza wanaocheza ni wachezaje kwani wanafunzi wanapoo fundishwa darasani wakifeli ni mwalimu au wanafuzi ndio waliofeli???

wewe nadhani sio mpenzi wa mpira, labda wewe ni mpenzi wa masomo... lazima tumlaumu Marcio yeye ndiye anayeandaa hiyo team and he has the taifa stars annual program which he must defend and achieve

sie wa liverpool tunamlaumu benitez kwanza maana ndiye mpangaji timu, hata ATC ilivyo na mamatizo tunamlaumu mkurugenzi, same kwenye mawizara

SOMEONE HAS TO BE ACCOUNTABLE, AND FOR THIS ONE NI MAXIMO

MAZEE
 
Tusimlaumu Maximo yeye sie anayecheza wanaocheza ni wachezaje kwani wanafunzi wanapoo fundishwa darasani wakifeli ni mwalimu au wanafuzi ndio waliofeli???

Maximo amejitahidi sana kutufundisha ila sisi hatufundishiki bado vichwa vyetu ni butu itatuchukua muda sana kuelewa nini tunachohitaji kufanya tukiwa uwanjani, hapa hakuna cha kuwa amepanga timu ya yanga wala ya simba, tatizo jingine tff wanaingilia uhuru wa kocha wamwachie kocha achague timu kulingana na viwango vya wachezaji

Wewe unatumia kichwa kubebea masikio...
Sasa nakupa mifano iliyo hai ambayo itakusaidia kutanua upeo wako uliolala kwa ajili ya kunywa banana wine.
Real madrid walipobolonga alitimuliwa, vicent del bosque, akaja caros quiroes nae akatimuliwa, akaja capello nae hali kadhalika, akaja juande ramos nae yaleyale, turudi kwa Liverpool nao walipoharibu walimtimua gerald houlieur, arsenal mwaka 95 walimtimua george graham, timu yangu kipenzi AC Milan tulishamtimua fatih terim, chelsea walishawatimua avram grant, ranielli na scoralli, juve wameshamtimua ranielli, inter mancini, roma sparetti nk nk nk...so jiulize kwa nini wasitimuliwe wachezaji?...kama huwezi kufuatilia soka nenda kadili na siasa za CCM kwani kule ndo mtu anaboronga kisha anasafishwa.
 
Wewe unatumia kichwa kubebea masikio...
Sasa nakupa mifano iliyo hai ambayo itakusaidia kutanua upeo wako uliolala kwa ajili ya kunywa banana wine.
Real madrid walipobolonga alitimuliwa, vicent del bosque, akaja caros quiroes nae akatimuliwa, akaja capello nae hali kadhalika, akaja juande ramos nae yaleyale, turudi kwa Liverpool nao walipoharibu walimtimua gerald houlieur, arsenal mwaka 95 walimtimua george graham, timu yangu kipenzi AC Milan tulishamtimua fatih terim, chelsea walishawatimua avram grant, ranielli na scoralli, juve wameshamtimua ranielli, inter mancini, roma sparetti nk nk nk...so jiulize kwa nini wasitimuliwe wachezaji?...kama huwezi kufuatilia soka nenda kadili na siasa za CCM kwani kule ndo mtu anaboronga kisha anasafishwa.

safi sana mazee.. kama hataelewa hapo basi tena!
 
Hivi kweli wapo watu humu walitegemea Tanzania itaishinda Misri? Kweli wengine mmechelewa. Mbona matokeo kama yale yanaweza kubashiriwa hata na mwendawazimu? Maximo hawezi kubadilisha mpira wetu. Tuanze chini kwenye mtaa, kitongoji, kata, tarafa, wilaya, mkoa, n.k. Siku hizi hata timu za mitaani hakuna, kama zipo ni za wavuta bangi. Enzi zetu ilikuwa tukitoka shule tu, tunakwenda kucheza soka, bila kocha. Viwanja vilikuwepo. Mmeuza vyote!
 
Watanzania tutaumia sana kama atutafuatia alphabet za mpira kuanzia ngazi za chini, mimi nimesikitishwa sana kuona nchi kama Malawi wanashiriki katika kombe la DUNIA chini ya miaka 17 sisi tupo tu tunang'amg'ania timu za wakubwa baada kwanza kuanzia na timu za chini
 
Yaani sie kwa masri bwana kama mbwa kwa chatu,hata timu zetu uwa zikitia maguu tuu masri ni tano,ni simba tuu ambayo uwa inawatoa jasho hawa waarabu labda ni kwa sababu katika historia yao kuna kauarabu kidogo.
 
Watanzania tutaumia sana kama atutafuatia alphabet za mpira kuanzia ngazi za chini, mimi nimesikitishwa sana kuona nchi kama Malawi wanashiriki katika kombe la DUNIA chini ya miaka 17 sisi tupo tu tunang'amg'ania timu za wakubwa baada kwanza kuanzia na timu za chini

Thank you!!!!!

Most sensible post so far. Tanzanians expecting miracles without hardwork, dedication and patience. Time and time again it has been proven that the path to football success is through youth development. Yet how many youth leagues are there? how many footbal academies? how many of the big clubs, Simba, Yanga, etc have youth teams....
How many phyical therapists, nutritionists, strength and conditioning experts, etc are helping this young talent develop at the critical stage of thier development.

Maximo is not a miracle worker and has probably taken Tanzania as far as he can with the available talent. At least he is stressing the importance of youth development which was completely ignored before, but more needs to be done and not only in football.

Nothing is free and easy.
 
Yaani sie kwa masri bwana kama mbwa kwa chatu,hata timu zetu uwa zikitia maguu tuu masri ni tano,ni simba tuu ambayo uwa inawatoa jasho hawa waarabu labda ni kwa sababu katika historia yao kuna kauarabu kidogo.


I saw the game. Ni kama vile tumewapotezea muda wao na pesa zao kwa ajili ya maandalizi. There was almost no competition!. Ni kama vile Misri walikuwa wanacheza na watu wanaojifunza mpira. Golikipa ndio kabisa alikuwa disaster! Hivi kumbe mnapopiga kelele oh Simba wanacheza mpira mzuri, mpira wenyewe ndio dizaini hii? mbona kichekesho! We have a very long way to go!
 
I saw the game. Ni kama vile tumewapotezea muda wao na pesa zao kwa ajili ya maandalizi. There was almost no competition!. Ni kama vile Misri walikuwa wanacheza na watu wanaojifunza mpira. Golikipa ndio kabisa alikuwa disaster! Hivi kumbe mnapopiga kelele oh Simba wanacheza mpira mzuri, mpira wenyewe ndio dizaini hii? mbona kichekesho! We have a very long way to go!
Hawachezi mpaka wakasomewe ALBADIR UNGUJA hapo hooo utawaona mastaa maana jana huyo JJ na MGOSI walikuwa kituko uwanjani
 
Leo kichapa tu kwa Mafalo tena wamejipendekeza kuwafuata huko huko Golikipa atakuwa nani yule aliye hongwa na Simba Shaban Dihile wa JKT leo atakunywa nyingi si chini ya 5.
sikuhizi umeanza uganga??
 
Huyo kipa wake barthez kwanza anaanza simba?
Coz mi najua ili mchezaji apate nafasi ktk timu yake ya taifa basi ni lazma ajihakikishie namba ktk klabu yake, ndo maana Beckham anatamani hata kesho aje Milan ili tu aweze kudumbukizwa ktk msafara wa kuja kwa Madiba, hali kadhalika Owen.
Sasa je yeye anayeita na kuwapanga wachezaji wanaojikunyata kwenye bench kila cku katoa wapi mfumo huu mbadala?
 
Back
Top Bottom