Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,888
Ombeni sefue katumbua jipu zito ITV jamani
Kumbe ile kampuni iliyotupiga ikishirikiana na Stanbic bank wahusika ni Harry Kitilya aliyekuwa kamishina mkuu wa TRA na Mboya. Sasa ukitaka kujua dunia haramu +na yule miss utaelewa sasa na yeye aliingizwaje!!
Mh. Magufuli, kurudishiwa hela haisaidii tunataka walioohongwa wafungwe waende ndani.
SFO wametaja waliohusika ni mzee wetu H. Kitilya na Mboya. Kuweka nchi iwe na adabu wapelekwe mahakamani na kesi isikae mizezi 3.
Na kama wao wana ama walitumika kama middleman wasema top nani.
Kumbe ile kampuni iliyotupiga ikishirikiana na Stanbic bank wahusika ni Harry Kitilya aliyekuwa kamishina mkuu wa TRA na Mboya. Sasa ukitaka kujua dunia haramu +na yule miss utaelewa sasa na yeye aliingizwaje!!
Mh. Magufuli, kurudishiwa hela haisaidii tunataka walioohongwa wafungwe waende ndani.
SFO wametaja waliohusika ni mzee wetu H. Kitilya na Mboya. Kuweka nchi iwe na adabu wapelekwe mahakamani na kesi isikae mizezi 3.
Na kama wao wana ama walitumika kama middleman wasema top nani.