EGMA (kampuni ya Kitilya na Mboya) vs Stanbic bank

EGMA (kampuni ya Kitilya na Mboya) vs Stanbic bank

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,888
Ombeni sefue katumbua jipu zito ITV jamani

Kumbe ile kampuni iliyotupiga ikishirikiana na Stanbic bank wahusika ni Harry Kitilya aliyekuwa kamishina mkuu wa TRA na Mboya. Sasa ukitaka kujua dunia haramu +na yule miss utaelewa sasa na yeye aliingizwaje!!

Mh. Magufuli, kurudishiwa hela haisaidii tunataka walioohongwa wafungwe waende ndani.

SFO wametaja waliohusika ni mzee wetu H. Kitilya na Mboya. Kuweka nchi iwe na adabu wapelekwe mahakamani na kesi isikae mizezi 3.

Na kama wao wana ama walitumika kama middleman wasema top nani.
 
Ningeomba THE BOSS aje alisemehe ili maana anamkubal sana uyo KITILYA
 
Sefue ametumia lugha laini mno! Anasema kama kuna watu walihongwa! Kah!!! Waingereza wamesema wazi kuwa zile pesa zilitumika kuwahonga maafisa wa serikali Tanzania!

Sefue anataka kuweka credit kwa benki kuu Tanzania kitu ambacho Nina mashaka nacho, benki nao in watuhumiwa katika hili! Ningewaelewa kama wangekuwa wa kwanza kukamata hawa wezi na kuwafikisha kwenye vyombo vya dola bila kusubiri hisani ya waingereza kutukamatia!

Kama waingereza wasingefuatilia sidhani kama hii pesa ingerudi! Inaonekana kabisa hapa kuna ubia wa uovu kati ya benki kuu na stanbic bank! Haiwezekani hii benki ikawa inatoa Fedha cash kwa mabilioni katika muda mfupi bila kuwa na hofu na benki kuu kama hawana ubia! Wakati wa sakata la escrow ni hawa hawa waliruhusu pesa zichukuliwe kwenye viroba kwa mabilioni na mpaka Leo "wamegoma" kutoa orodha ya wahusika na wanaendelea na biashara kama kawaida pamoja na bunge kupiga makelele!

Namwomba Magufuli awatembelee kwa kushtukiza na awaombe hiyo orodha ya escrow tuone kama naye watamgomea! Hilo jipu linamsubiri Magufuli maana watanzania wanalijua japo nasikia inasemekana limekaa pabaya!! Tukubali tuna matatizo makubwa ya uadilifu benki kuu, wanakubali kutumiwa na mafisadi!
 
majipu yako mengi sana.. tokea awamu ya tatu na hii ya nne.. ilikuwa chukua cha mapema
 
Ingefaa sana wafanya kazi wa BoT ambao wanaruhusu upigaji kila siku watimuliwe na akiwemo Gavana.

Wangesimamia vzuri sheria za kifedha hizi fedheha tusingekuwa tunapata nchini
 
ni harry kitiya huyu jamaa aliwahi kuwa bosi mkuu tra ni aibu kubwa sana kwa mtu kama yeye kufanya kitendo hicho lakini mpaka sasa sioni sababu ya gavana kuendelea kubaki madarakani ni madudu mengi yamefanyika kupitia bot badala yake namuona yeye bado yupo ni wakati muafaka panga la dr.Magufulukumpitia
 
Jamaa baada ya kukubaliana na bank ya standard wakaona waweke wakala na wakati hakutakiwa.. wakaongeza cha juu katika asilimia..

Nilichojifunza hapa.. unaweza kudanganya watu kwa wakati fulani lakini sio siku zote.. Fanya kazi JPM hata Mungu anaona juhudi zako..ingawa haya mengine hawa waingereza wametuonea huruma na kuchukua hatua..ngoja tuone jipu litakalofuata.
 
AISEE OMBENI SEFUE KATUMBUA JIPU ZITO ITV JAMANI

KUMBE ILE KAMPUNI ILIOTUPIGA IKISHIRIKIANA NA STANBIC BANK WAHUSIKA.N HENRY KITILYA XTRA ....NA MBOYA ...SASA UKITAKA KUJUA DUNIA HARAMU +NA YULE.MISS UTAELEWA SASA NA YEYE ALIiNGIZWAJE

MH MAGUFULI KURUDISHIWA HELA AISAIDII TUNAKA WALIOOHONGWA WAFUNGWE WAENDE NDANI..SFO WAMETAJA WALIOHUSIKA N MZEE WETU H KITILYA NA JAMAA MMOJA SOMEBODY MBOYA..KUWEKA NCHI IWE NA ADABUWAPELEKWE MAHAKAMANI NA KESI iSIKAE MIZEZI 3..

NAKAMA WAO WANA AMA WALITUMIKA KAMA MIDDLEMAN WASEMA TOP NANI..

...mwenzake na Harry Kitilya (former boss wa TRA) alikua anaitwa Dr. Fratern Mboya (ni marehemu sasa) alikua boss wa CMSA na enzi hizo aliwahi kuwa Dean-Faculty of Commerce and Management - UDSM..
 
Dah inasikitisha kuona uingereza inatusaidia kuibua madudu yetu, hivi hao mabalozi wanakazi gani huko abroad, nikweli hawajui maofisa wetu wanapokuja huko wanafanya madudu gani, ofisi zao huwa wapo waambata kibao mpaka maofisa usalama, ila nasikia wanalipwa mishahara duni, (but where is loyalty) hata hvyo nyie maofisa waandamizi, nyie wasomi wetu kwenye positions muhimu ni mbwembwe tu, majivuno, suti, magari na nyumba zakifahari, lakini ni aibu tu. Huwa mnajidai tu lakini hamna lolote. Yani mmeitia aibu nchi na raia wake. Hamna hata aibu, nasasa mnaumbuka.
 
Huyu naye apigwe chini tu hatutaki ulaini unasisitiza jambo la kitaifa unacheka Cheka nini hii!!!!!!
 
Back
Top Bottom