eFootball Special Thread

Wakuu mna uhakika kuwa hii Efootball league Ai sio wafanyakazi wa konami wanapokezana kucheza๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ

Nimesema leo nicheze nipande division 2 nimekula vipigo game zote๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Dvn unacheza ya AI ? Mbona match nyingi sanaaa kupanda
 
Oya mimi imenishinda ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ™Œ
Amna kam ukutane na kikosi cha mtu ana lamine Yamal hesabu maumivu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hawa Ai hawafai

Sasa division 2 nitakutana na vikosi vya 3150 sijui itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ