Hii ilinikuta katika mechi 2 mfululizo kwenye dvn, bora mechi ya kwanza nilikuwa natafuta sare ila mechi ya pili dakika ya 70 naongoza halafu simu ikapigwa net ikakata 😂.
Hii ilinikuta katika mechi 2 mfululizo kwenye dvn, bora mechi ya kwanza nilikuwa natafuta sare ila mechi ya pili dakika ya 70 naongoza halafu simu ikapigwa net ikakata 😂.
Hiyo siku niliweka do not disturb ila cha ajabu simu iliita ikakwama nikapokonywa mpira nikafungwa ngoma natafuta sare lakini wapi, mechi ya pili mtu akapiga tena network ikakata halafu ndo naongoza 😂.
Hiyo siku niliweka do not disturb ila cha ajabu simu iliita ikakwama nikapokonywa mpira nikafungwa ngoma natafuta sare lakini wapi, mechi ya pili mtu akapiga tena network ikakata halafu ndo naongoza 😂.
Kaka ni kazi hapo penyewe nipo exhausted alafu kuna card kama za Neymar wa Santos hazipatikan tena pamoja na Villa wa 104 nawakubali kinoma pia kuna Anchorman Pale ambae me nahaha kumpata 😃😃😃ndo maana nimeingia majaribuni