Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
😃😃Utangojea mnoBado hawajakidhi vigezo vyangu, hizo playstyle zote ziwe 88 ndo nitapambana kumchukua lakini iwe ni QC na LBC.
😃😃Utangojea mnoBado hawajakidhi vigezo vyangu, hizo playstyle zote ziwe 88 ndo nitapambana kumchukua lakini iwe ni QC na LBC.
Mkuu zile through mchezaji akiwa kwenye nafasi nzuri ndo zinakubali.Ndo maana zile through zako za kunyanyua mpira kwa kawaida before hujapiga ningekuwa nimekaba😃😃ila nashangaa tu hiyo
Anatumia smart assist 😃 ana zile lob pass zake usipokua makini nyavu zinachezaAi na wewe ni vitu vitano tofauti...
Alafu huwa unatumia Smart Assist eeh kwenye game za live??
Daah hapo sawaa...Anchorman utasubiri sana nilikaa miezi 3 sina Anchorman ikabidi nimnunue Rodri wa bure. Nina Anchorman 2 tu hadi sasa. Anchorman na defensive Fullbacks sio wengi
Huu mfumo uki umaster utafunga magoli mengi sanaTangu nimchukue Gesperin nilikuwa nahangaika kutafuta mfumo ambao utakuwa na ufanisi zaidi katika playstyle zote(QC & LBC), bahati mbaya mfumo wenye huo ufanisi ulikuwepo kwenye update ya 2023 na sasahivi haupo.
4-1-3-2 ndo mfumo wenye ufanisi zaidi kwa QC na LBC, unakupa idadi kubwa kwenye kushambulia na kuzuia pia.
View attachment 3318724
Imenibidi kuutengeneza mwenyewe na nimeujaribu mara kadhaa kupitia AI Controlled na kweli huu mfumo uko vizuri sana kwa hizo playstyle.
View attachment 3318727
View attachment 3318729
Hii ndiyo raha ya pre seoson 😂.
Mechi ya Alonso day ulinifunga 1 nikakufunga 1 na sare 1 😂.
Defensive fullback natamani kumpata hata 1 tu, hili game linaenda na wakati yaani kwa zama hizi za modern football wanahitajika sana attacking fullbacks.Anchorman utasubiri sana nilikaa miezi 3 sina Anchorman ikabidi nimnunue Rodri wa bure. Nina Anchorman 2 tu hadi sasa. Anchorman na defensive Fullbacks sio wengi
Babu anatosha huyu hana baya 😂.😃😃Utangojea mno
Ni nzuri sema me bado sijamaster vizuri kuchezesha direction za mchezaji pasi iende wapi...Mkuu zile through mchezaji akiwa kwenye nafasi nzuri ndo zinakubali.
Kounde atakuja nadhan week hiliDefensive fullback natamani kumpata hata 1 tu, hili game linaenda na wakati yaani kwa zama hizi za modern football wanahitajika sana attacking fullbacks.
Sawaa kaka komaa naeBabu anatosha huyu hana baya 😂.
Defensive Fullbacks mzuri KoundeDefensive fullback natamani kumpata hata 1 tu, hili game linaenda na wakati yaani kwa zama hizi za modern football wanahitajika sana attacking fullbacks.
Mkuu nimeukubali sana yani niliweka AI Controlled moja kati ya mechi walizocheza wamepiga jumla mashuti 8 na 7 on target, 5 yamezama wavuni.Huu mfumo uki umaster utafunga magoli mengi sana
Kumpata sasa ndo changamoto.Defensive Fullbacks mzuri Kounde
Kumpata mkuu ndo changamoto, najiandaa kuchoma coins kwaajili yake ikiwa sitampata kwa free spin.Kounde atakuja nadhan week hili
Kante ni mashine nyingine mkuu.Daah hapo sawaa...
Alafu mbona kante ni Box to Box lakin anacheza Dm vzr sana
Au kwa sababu ana Defensive awareness kubwa???
Maana mtu akishakuwa na Kante au Tchoumen nasahau swala la kupita
Cross kwa Drogba🙌😃Namsubiri kwa hamu huyu nimuweke mbavuni.
View attachment 3318798
Mkuu huyo drogba anapigwa vichwa balaa, kuna mechi moja(AI Controlled) alishinda hat trick kwa vichwa 😂.Cross kwa Drogba🙌😃
CAma wowow cama wowoow camavinga🤣🤣Kumpata mkuu ndo changamoto, najiandaa kuchoma coins kwaajili yake ikiwa sitimpata kwa free spin.
Akiwa na booster sitojisumbua.