eFootball Special Thread

Selikavu bando lilikata njiani. Ila mechi zako unanisumbuaga sanaπŸ˜ƒπŸ”₯
Leo mkuu umekaba adi vivuliπŸ™Œ


Kuna game ya pili nadhani sijatoka na shot hata mojaπŸ˜ƒ


Inabidi siku mkuu nipate mechi tano ukiwa free za dakika 10

Nadhani nikizipata hizo kwa pamoja nitajifunza kitu...maana nimeshaona direction zangu zipo vibaya sana pamoja na upokeaji mipira na dribbling za kutoka watu... Nadhan kwenye hizo game naweza nikajirekebisha baada ya kuona shida ipo wap ninapopoteza mipiraπŸ™πŸ™
 
Razorblade matokeo ya leo nimekufungwa game mbili na mpira mkubwa,
nikapiga chafya moja nikapata draw ila baada ya kuongea na Bibi kijijin kule

Hii nimetoka bila hata shot moja πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œkosa ambalo wewe huwezi fanyaπŸ˜ƒ
 
Upo vizuri 4312 unaitendea haki
 
Mkuu naona umefuga kuku wa mayai πŸ˜‚.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…