eFootball Special Thread

Selikavu bando lilikata njiani. Ila mechi zako unanisumbuaga sana๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ”ฅ
Leo mkuu umekaba adi vivuli๐Ÿ™Œ


Kuna game ya pili nadhani sijatoka na shot hata moja๐Ÿ˜ƒ


Inabidi siku mkuu nipate mechi tano ukiwa free za dakika 10

Nadhani nikizipata hizo kwa pamoja nitajifunza kitu...maana nimeshaona direction zangu zipo vibaya sana pamoja na upokeaji mipira na dribbling za kutoka watu... Nadhan kwenye hizo game naweza nikajirekebisha baada ya kuona shida ipo wap ninapopoteza mipira๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Razorblade matokeo ya leo nimekufungwa game mbili na mpira mkubwa,
nikapiga chafya moja nikapata draw ila baada ya kuongea na Bibi kijijin kule

Hii nimetoka bila hata shot moja ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œkosa ambalo wewe huwezi fanya๐Ÿ˜ƒ
 
Upo vizuri 4312 unaitendea haki
 
Mkuu naona umefuga kuku wa mayai ๐Ÿ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ