eFootball Special Thread

Mwalimu Selikavu leo nimewaacha wacheze wenyewe aisee wanapiga mali hatari.

Hii inaleta raha zaidi siku ukiwa umeshinda nyumbani halafu huna movie mpya na hujiskii kucheza game, unawasha smart view kwenye simu unaunga na smart tv yako unakula burudani ๐Ÿ˜‚.

Konami leo asubuhi wameamua kunitunuku coins 130 na kuifanya kazi ya kumpata G.P. Gesperin kuwa rahisi.


Leo ni Gesperin Day.
 
Umemnunua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ