eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Unaendeleaje mkuu vip linapanda au unaona mauza uza bado
😂😂😂
Kwa hakika ndugu yangu, hasa baada ya kuniambia na commentary nayo ni download, pia baada ya kupata vichapo viwili mfululizo mood imekata kidogo😁😁

Ila I will back stronger again
Nita revive battle again na huku kama DLS💪🏿💪🏿
 
😂😂😂
Kwa hakika ndugu yangu, hasa baada ya kuniambia na commentary nayo ni download, pia baada ya kupata vichapo viwili mfululizo mood imekata kidogo😁😁

Ila I will back stronger again
Nita revive battle again na huku kama DLS💪🏿💪🏿
Kaka trust me ukiweka nia unalijua Vizuri tuu na ni bonge la game DLS ikasome

Tulikua wote DLS kule hakuna challenge


Weka nia kwa uwezo wako wa DLS huku huchelewi kuwa Pro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom