Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,236
- 29,276
Tutaarrange tena weekend 😃😃Mje basi kule kwa jana wakumcheka tumcheke yaishe😂
Tutaarrange tena weekend 😃😃Mje basi kule kwa jana wakumcheka tumcheke yaishe😂
Msaada wa nini? 😂Ajisalimishe aseme anafeli wapi asaidike😂
Network umeuza mkuu😃View attachment 3594485emergency call
voda jau ikitulia tutapanda
Mtu sahihi akubali uwe busy na game ye umpack 😂 yatakushinda mwanetuKuna mtu aliniuliza nitapata vipi mwanamke na muda wote uko busy na game 😂
Mapenzi yanakuwa mazuri pale tu unapopata mru sahihi.
Khalas 😂🙌
Eeh nini tena wakuu😃Huezi elewa mkuu😂
Muulize selikavu
Ananinyanyasa 😂Unadeka sana kaka 😃😃
😃😃Hana lolote wanapendana kwa msimuAmeokoka? Au mnataka kumponza😁😁
Corrie hizo tackles
Nani T😃😃huyu fala ndo alikua anamuharibu mtumishiSi anajua wokovu hana na yule wokovu umejaa 😅
Penzi gumu sana hili mkuu me nimepambania mno hakuna matokeoAjisalimishe aseme anafeli wapi asaidike😂
Situmii muda mwingi kwenye game shahidi Selikavu (Usinikatae fala wewe) 😂Mtu sahihi akubali uwe busy na game ye umpack 😂 yatakushinda mwanetu
Unakofeli ni wapi? 😂Msaada wa nini? 😂
Si anapenzi jipya huyo 😂Eeh nini tena wakuu😃
We kichwa 😂😃😃Hana lolote wanapendana kwa msimu
Wewe si unapewa washambuliaji viungo aanhHhh kwema kaka , uyo orchestral sio wa kukosa
Oya unachoma utambi sasa 😂Nani T😃😃huyu fala ndo alikua anamuharibu mtumishi
Sa uliyemtag mbona umechochora? Maana huyo anazikata tu zikiingia😂 anachagua konami kuliko bibi akeSitumii muda mwingi kwenye game shahidi Selikavu (Usinikatae fala wewe) 😂
Hizi mechi za mchana zenyewe nazicheza na wewe sasahivi, mara nyingi huwa nacheza usiku 🙌
Fala wewe 😂Penzi gumu sana hili mkuu me nimepambania mno hakuna matokeo
😂 basi akafie mbeleNani T😃😃huyu fala ndo alikua anamuharibu mtumishi
Huyu balaa😂😂🤠🤠Corrie hizo tackles
Nani alinidanganya corrie ni noob