Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,265
- 29,358
Dah😃😃😃Visingizio
Dah😃😃😃Visingizio
Sinayo 😂😂😂😂 yako umepeleka wapi?
Nimekusudia kukushangaza 😂Ppw simu yangu ipo low sidhani kama tutagusa nyingi
Unavuta kikosi kingine 😃😃😃Nimekusudia kukushangaza 😂
Likitiki nakurudia si unajua winger 😂🙌
Efootball all day mkuuDLS 26 VS eFootball lipi game zuri, kwa nini.
Ndio code
YeahNdio code
Siwezi kucheza na Mafox in box sijakalili Runs zao kwahiyo huwa napata tabu sanaBoss kmb pia una zlatan. 😃 nilimtight making yamal daah
Anakuja huyu
Mbn ime close sasaYeah
Aisee nikipat na mm limfu pale CF mmekwisha!😃Siwezi kucheza na Mafox in box sijakalili Runs zao kwahiyo huwa napata tabu sana