eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Depal Unajifanya haupo na muda nilikupa 😂
😂 sema fresh natoboa hata game 1
IMG_2110.png
 
Aisee huu uzi unavijana wabishi mno hatuwakataz kucheza game lakn hayo magemu ya Kwenye simu yanawatoa akil

Nunua PS4 au PS5 weka ndani cheza online ukipata muda na watu sio kwenye simu ukiwa hauna hela kabsa nunua PS3 cheza online au PC

Huu ushauri wa mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom