eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Weka charge wewe sitaki visingizio baadae 😂
Umemaliza unachofanya?

Mi sina visingizio, labda nipigiwe cm
IMG_2111.png
 
Eee nilivyoona mechi ya kwanz kunichezea kam mtot😃😃
Kwenye events nilikutana na mtu kamchukua Mbappe na Garcia kwenye hii pack ya Yamal nikasema ngoja nikupe sababu ya kununua coins🤣🤣
Kikosi chake hichi hapa hajamchukua Yamal
Screenshot_20260524-153527.png


Matokeo na man of the match
Screenshot_20260524-153456.png
Screenshot_20260524-153509.png



Nadhan baada ya hapa ataenda kumchukua Yama🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom