Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,021
- 28,688
Wamekupelekea moto tier 10😃😃😅 kikosi changu kipo tena wote nilishawajaza mpaka mwisho ni wale weusi na ni hili la Online sio lile lilikuwa Hacked...Kila mtu na mapendekezo yake lakin nimeona gameplay ya efootball na control haijanivutia kabisa, nimejaribu kucheza lakin halijanivutia.
Ndo ujue kiasi gan nimelicheza
Nilishafkka adi tier one