Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,539
- 11,307
Shem kama shem nimeteseka sana na ndugu yangu yani tunaingia kwenye mechi akili yote ipo kwako.Ba tamu ko wee ndo uwe wa mwishoo? Nimechekaa sanaaa.
Kurudi alipo dogo ni mpaka Dec πAah hiyo notification achana nayo ππ
Nilikupa zile setting umeweka??
Alafu pia dogo si yupo atakuongezea ufundi siku ukiendaπau humtaki
πππ chelsea hawataniponza kweli hata kama ni game, hawaaminiki.!Depal kukucha nitakuwekea maelezo ya namna ya kuweka match ya kucheza nataka ucheze league ya EPL msimu mzima na team yako ya Chelseaππukimaliza mechi zote 38 na game utakua umejuaππ
Ya button ndo huwa rahisi.... Ya kuslide tuu simu ni ngumu sanaKurudi alipo dogo ni mpaka Dec π
Sikukuu zimeisha sahv
Setting za mchana nilimaliza
Sahv nmestuck kwenye hizo button.. kwani huwezi kumslaidisha na screen ya cm mpk utumie button?
Uliweka ipiππAfu kwanini wamenibadilishia username? π
Mashine kipengele kaka ila soon nikichukua tuu Efootball Mobile nawahamaππOya si muweke e football kwenye pc au ps ili tukichafue
Pambana kaka, raha ya kitu kichafuke kwenye 4k kudadadeki.Mashine kipengele kaka ila soon nikichukua tuu Efootball Mobile nawahamaππ
Unyama kaka soon tuu wacha nipambaniePambana kaka, raha ya kitu kichafuke kwenye 4k kudadadeki.
Au siku nikishiba nita andaa event wana tukichafueUnyama kaka soon tuu wacha nipambanie
Utakua umetisha sana πππAu siku nikishiba nita andaa event wana tukichafue
Ms. BeverlynUliweka ipiππ
Au tukachezee jela ππUtakua umetisha sana πππ
Nimestuck hapo kwenye tutorial ya mwishoYa button ndo huwa rahisi.... Ya kuslide tuu simu ni ngumu sana
Utazoea tuu
Tutasort out na hilo hakuna shidaMs. Beverlyn
Ila nikiingia naona signed in as Navy nini sijui
Dah hapa ndo nimekuelewa kwann ulikua unaambiwa Wrong Command..Nimestuck hapo kwenye tutorial ya mwishoView attachment 3590391
Au wanataka male usernames, niwe Bakari Nondo πTutasort out na hilo hakuna shida