eFootball Special Thread

Naam nipo hapa


Tuanze na maelezo ya hapa ukifungua game

Game letu Lina mambo mengi ila utayazoea tuu soon...


Cha kwanza ukifungua game kila siku unaenda kupiga penalty kama ulivyopiga jana pale kwenye daily game box kulia chini.. huwa kuna Rewards nzuri za wachezaji na zawadi nyingine...


Game letu hauchagui team mfano ukasema team yangu ni Chelsea so ukachukua ukiexpect utapewa wachezaji wa Chelsea no... Game letu limebase sana kwenye Dream team Yan unatengeneza team yako mwenyewe kutokana na wachezaji utakao kuwa unawapata ukikaa muda mrefu unatengeneza kikosi kizuri cha kusumbulia watu

KWakua ndo umeanza huwa wanakupa Package ya Messi na wachezaji kadhaa kama Valvede, Oyezbar, Gimenez na Donnaruma uliwaona hao kama bado nenda sehemu ya contract ( happ chini ina Alama ya zambarau) then utachagua special pack then first option atakua mess chini yake wameweka neno free bonyeza hapo...
 
😀 Nimepata View attachment 3589863
Nilipomaliza penalty ikaja hii View attachment 3589864
Nikirudi home
Eeh kesho tena utapiga huwa ina jirefresh saa 11 asubuhi...


Kinachofata ni kuenda kuchukua wachezaji wa kuanza nao...


Happ kuna sehemu kama unakua directed uende... Kwenye hivyo viboksi vya chini hapo home hicho cha zambarau sijui nenda hapo kamchukue messi wa kuanza nae...


Then nitamaliza na namna ya kucheza na jinsi ya kuweka settings
 
Apo aende training ndiyo kuna wachezaji
 

Nimefika huko
 

Attachments

  • IMG_1928.png
    4.5 MB · Views: 1

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…