eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Aiseee vijana wa humu ndani wanamchango mdogo sana Kwenye taifa

amkeni mdeki nyumba na muandae chai shemej aendee kazn
Muda wote upo kwenye kibao kata ila akili ipo kwetu, hili ni tatizo kama tatizo lingine.

Maxence Melo Moderator Active tafadhali tunaomba huyu mtu azuiwe kuingia kwenye huu uzi kuepusha shari.
 
Muda wote upo kwenye kibao kata ila akili ipo kwetu, hili ni tatizo kama tatizo lingine.

Maxence Melo Moderator Active tafadhali tunaomba huyu mtu azuiwe kuingia kwenye huu uzi kuepusha shari.
Tafuten kaz za kufanya umri hauwasubiri, hao uluowatag ukizeeka hawatakusaidia hata debe la unga

Kua na bedsofa tv43inch na frij litre 120 sio mafanikio amka mapema
 
Tafuten kaz za kufanya umri hauwasubiri, hao uluowatag ukizeeka hawatakusaidia hata debe la unga

Kua na bedsofa tv43inch na frij litre 120 sio mafanikio amka mapema
Nani kakudanganya kuwa ukicheza game huwezi kufanya mambo mengine ya muhimu?

Unajua maana ya leisure jamaa? Ukitoka hapa utawaambia watu wasiangalie movie, wasisikilize mziki, wasitoke ma mademu grow tf up dude
 
Back
Top Bottom