eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

League yetu ya Coop


Team zipo tano...


Tutacheza Mfumo wa Round kila timu itacheza na team zote kwenye league...


Game itakua moja lakin pia kutakua na round two...


So Round one mechi moja then ukishamaliza opponent wote tunaanza kuludiana...


Kwakua zipo team Tano team moja kila siku itakuwa inapumzika😃😃😃

Game ni moja ya Dakika 12


No extra time


Condition excellent..

Injuries Off


KUWAKE💪


Round One
IMG_20260511_131746_604.jpg
 
League yetu ya Coop


Team zipo tano...


Tutacheza Mfumo wa Round kila timu itacheza na team zote kwenye league...


Game itakua moja lakin pia kutakua na round two...


So Round one mechi moja then ukishamaliza opponent wote tunaanza kuludiana...


Kwakua zipo team Tano team moja kila siku itakuwa inapumzika😃😃😃

Game ni moja ya Dakika 12


No extra time


Condition excellent..

Injuries Off


KUWAKE💪View attachment 3587024


Round One
View attachment 3587025
Pamoja
Tunaanza Leo.
 
Back
Top Bottom