Hao ulowatag ni wanafunzi wenzako, jobless au nao wanaishi kwa shemej zao?
Dah nani kasema hivi 😏Sasa mwenzio huyo kaka ako hanitaki, eti anaitaka efootball.
Nimekumiss pia mejiii.
Karibu ujumuike mkuuHuu ni uzi wa wanafunz wa vyuo, wasio na kazi na wanaishi kwa shemej zao tu
Amekuja kufanyaje sasa kama anajua hamuhusu🤣
Maisha fanya unachopenda😃dunia ishabadilika muda sanaJau sana😂
Mkuu kazi kwel kwel eniwei ni mtazamo wakeAnalazimisha wote tupende pombe sijui.
Hajui game halihusiani na maisha 💯
😃😃😃Ngoja tuone kama tutatengeneza kundi la Whatsapp kww ajili yako😃😃Wasalimu telegram 😂🙌🏾
Waambie night wawe wanakuja niwape code na vipigo😂💔
Niliona mapema tuu 😃😃yupo kutusema sisi 😬Hilo lijamaa jau sana, kasome Tena username yake🚮🙌🏾
PamojaLeague yetu ya Coop
Team zipo tano...
Tutacheza Mfumo wa Round kila timu itacheza na team zote kwenye league...
Game itakua moja lakin pia kutakua na round two...
So Round one mechi moja then ukishamaliza opponent wote tunaanza kuludiana...
Kwakua zipo team Tano team moja kila siku itakuwa inapumzika😃😃😃
Game ni moja ya Dakika 12
No extra time
Condition excellent..
Injuries Off
KUWAKE💪View attachment 3587024
Round One
View attachment 3587025
Achana naeMthenge.
Leo usiku kutaanza kuwakaPamoja
Tunaanza Leo.