Ukorofi tuu mtu anakaaje kwa Aman๐๐๐Hili jina gani๐
Kanyongorota kabisa ๐@Selikavu amepinda๐
Ndugu mteja salio lako halitoshi kwa sasa salio lako no coin 0๐๐View attachment 3467690
View attachment 3467692
Eti wameanza kunizimia taa, hapo nilikuwa natafuta coins 50 ili nipite na kijana Yamal ๐
View attachment 3467694
Yamal kunyumba ๐
View attachment 3467695
Assist
View attachment 3467697
Goal
View attachment 3467698
Kijana mdogo kaanza kazi vizuri ๐ช
Amna kitu apa๐นView attachment 3467690
View attachment 3467692
Eti wameanza kunizimia taa, hapo nilikuwa natafuta coins 50 ili nipite na kijana Yamal ๐
View attachment 3467694
Yamal kunyumba ๐
View attachment 3467695
Assist
View attachment 3467697
Goal
View attachment 3467698
Kijana mdogo kaanza kazi vizuri ๐ช
Naanza kuchanga upya ๐Ndugu mteja salio lako halitoshi kwa sasa salio lako no coin 0๐๐
Safi ๐Amna kitu apa๐น
Liache tu ๐Kabla ya ban haijaisha nitalud kwenye jina langu๐๐
Ukaamua uweke AI Professional uzindue kipaji sioView attachment 3467690
View attachment 3467692
Eti wameanza kunizimia taa, hapo nilikuwa natafuta coins 50 ili nipite na kijana Yamal ๐
View attachment 3467694
Yamal kunyumba ๐
View attachment 3467695
Assist
View attachment 3467697
Goal
View attachment 3467698
Kijana mdogo kaanza kazi vizuri ๐ช
Nikichukua card mpya huwa kabla sijaitumia manually huwa naweka AI legend mkuu hata mechi 3 mfululizo kuangalia namna anavyocheza kwa kuongozwa na AI.Ukaamua uweke AI Professional uzindue kipaji sio
Ngoja niibe jina lako.New name soon siku 90 za kifungo nizitumie kwa ujinga ๐๐
Owaaa๐๐๐achen bhana๐๐Ngoja niibe jina lako.
Wewe si umebadirsha acha wengine walitumie maana hulitaki ๐Owaaa๐๐๐achen bhana๐๐
Mwenzio uyu Razorblade ata kuelekeza ana tatizo ilo ilo๐นHivi wakuu hili swala la kukaba mbona ni changamoto sana?? Yani unashikilia dash mpaka vidole vinauma ila uyo yamal anapiga chenga goli hadi goli na anafunga. Hakuna njia nyingine ya kukaba? Yani issue ya kukaba inaninyima raha sio siri hadi raha ya game inaisha, sometimes inabidi nifanye tickling kwa hasira naishia kula umeme. Msaada please. Nb. Nipo division 5.
Inaonesha ume delete account