eFootball Special Thread

Najiulia kwa nini opponent wangu hakukimbiq baada ya goli la 4 nadhani ni ego
Na ndo kilichomponza, huenda aliamini atapindua meza.

Sehemu ambayo siwezi kukimbia ni kwenye friend match tu ambapo nakuwa naangalia makosa yangu yanakuwa wapi ila huko kwenye dvn au events nikishaona napoteza kwa idadi kubwa ya magoli naachana na hiyo mechi.

Yanini kupoteza muda wakati tayari nishapoteza na kuna mechi zingine za kucheza.
 
πŸ˜…ngoja na mimi nicheze nipo 6 saiv baada ya ku update
 
Hongera MkuuπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Mimi hata nifungwe ngapi sikimbii mechi naona ni sehemu ya kujifunzaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
NEGAN naomba kuhairisha mechi mpaka nitakapomalizana na konami, hawa leo wameyatimba.

Selikavu kama kawaida yako kunipa moto ukanifanya nitengue kauli yangu ya kucheza dvn baada ya tarehe 27 πŸ˜‚.

Nilibakiza points 9 kupanda dvn 3 wakati huo bado mechi 5, mechi 2 za kwanza zote nimepoteza sababu ya simu kupigwa katika mechi zote 2 na iliyoniuma zaidi ni ambayo nilikuwa tayari naongoza halafu simu ikapigwa.

Mechi 3 zilizobaki 2 nikashinda ila moja ya mwisho ndo wakaamua kunipiga script yaani 1v1 na kipa zinapanguliwa nyingine zinakula nguzo na mbaya zaidi eti unalenga goli halafu mpira unatoka nje.

Kwa ufupi tu hawa konami hawakutaka niende dvn 3 ila wameyakanyaga.
 
Malizana kwanza na KONAMI πŸ˜ƒ
 
Komaa mkuu komaaaπŸ˜€πŸ˜€

Siku ukiona linaenda unakomaa nalo mpaka liishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…