Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 πππIla wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenuππ
Acha sema wote wamenionea kwenye hii update πππNa umenyooshwa kwel kwelπππ
Kasoro mimi tuu πππAcha sema wote wamenionea kwenye hii update πππ
Wewe najua kabisa ulichoka kuwa mteja wangu ukaamua kuingia training ili kufuta uteja na umefanikiwa πππKasoro mimi tuu πππ
Me nilikuambia kuwa tunafanana kila kitu ila tu smart assist ndo inatutenganisha kwa kile kipind ndo maana unanifunga...ππWewe najua kabisa ulichoka kuwa mteja wangu ukaamua kuingia training ili kufuta uteja na umefanikiwa πππ
ππNegan hawezi labda Mr DevilπππHuyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 πππ
C ile ya kuanza mashambulizi na attacking midfielder, pia nitumie 4222 au 4213Mkuu nilikupa suggestions nyingine uliiona??
Na wewe ndo ulinisanua maana niliwashaga tu bila kujua ufanyaji kazi wake vizuri πππMe nilikuambia kuwa tunafanana kila kitu ila tu smart assist ndo inatutenganisha kwa kile kipind ndo maana unanifunga...ππ
Siku niliyowasha nadhani ndo nikakata utejaππ
Hata goli 1 tu kwangu itakuwa sherehe πππNegan hawezi labda Mr Devilπππ
Eeh mkuu maana niliona kwenye mechi unapata shida sana kuanzisha mashambuliziπnikaona nikupe suggestions ya 4222 au 4312...C ile ya kuanza mashambulizi na attacking midfielder, pia nitumie 4222 au 4213
Me ile siiwezi tangu naanza kucheza game napenda absolute freedom kwenye game playNa wewe ndo ulinisanua maana niliwashaga tu bila kujua ufanyaji kazi wake vizuri πππ
Akinifunga hiyo hapakaliki humuπIla wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenuππ
πππCheza nae tuuππ saivi unakaribia nchi ya ahadiππHata goli 1 tu kwangu itakuwa sherehe π
Huyo shetani hanisumbui maana amenifunga baada ya update π
Yan hiyo kwake ni bora kuliko hata badge ya division oneππAkinifunga hiyo hapakaliki humuπ
Dah ngoja niendelee kujifuaπHuyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 πππ
Ujifue nini wakati anacheza na 177Cm kati katiππDah ngoja niendelee kujifuaπ
Nitajaribu kuifanyia kazi hiyo 4312 nione kama itanipa matokeo mzuriiEeh mkuu maana niliona kwenye mechi unapata shida sana kuanzisha mashambuliziπnikaona nikupe suggestions ya 4222 au 4312...
Na Kingine now unacheza Long Balls sio possession game au Quick counter wachezaji hawasogei kufata pasi wanakimbilia mbele kwahiyo jitaid uzoee pasi ndefu ni nzuri kwenye kushambulia na kupata muda wa kujiandaa defensively
Utakuwa ukichungulia tu humu πAkinifunga hiyo hapakaliki humuπ