Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,542
- 11,315
Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 ๐๐๐Ila wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenu๐๐
Acha sema wote wamenionea kwenye hii update ๐๐๐Na umenyooshwa kwel kwel๐๐๐
Kasoro mimi tuu ๐๐๐Acha sema wote wamenionea kwenye hii update ๐๐๐
Wewe najua kabisa ulichoka kuwa mteja wangu ukaamua kuingia training ili kufuta uteja na umefanikiwa ๐๐๐Kasoro mimi tuu ๐๐๐
Me nilikuambia kuwa tunafanana kila kitu ila tu smart assist ndo inatutenganisha kwa kile kipind ndo maana unanifunga...๐๐Wewe najua kabisa ulichoka kuwa mteja wangu ukaamua kuingia training ili kufuta uteja na umefanikiwa ๐๐๐
๐๐Negan hawezi labda Mr Devil๐๐๐Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 ๐๐๐
C ile ya kuanza mashambulizi na attacking midfielder, pia nitumie 4222 au 4213Mkuu nilikupa suggestions nyingine uliiona??
Na wewe ndo ulinisanua maana niliwashaga tu bila kujua ufanyaji kazi wake vizuri ๐๐๐Me nilikuambia kuwa tunafanana kila kitu ila tu smart assist ndo inatutenganisha kwa kile kipind ndo maana unanifunga...๐๐
Siku niliyowasha nadhani ndo nikakata uteja๐๐
Hata goli 1 tu kwangu itakuwa sherehe ๐๐๐Negan hawezi labda Mr Devil๐๐๐
Eeh mkuu maana niliona kwenye mechi unapata shida sana kuanzisha mashambulizi๐nikaona nikupe suggestions ya 4222 au 4312...C ile ya kuanza mashambulizi na attacking midfielder, pia nitumie 4222 au 4213
Me ile siiwezi tangu naanza kucheza game napenda absolute freedom kwenye game playNa wewe ndo ulinisanua maana niliwashaga tu bila kujua ufanyaji kazi wake vizuri ๐๐๐
Akinifunga hiyo hapakaliki humu๐Ila wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenu๐๐
๐๐๐Cheza nae tuu๐๐ saivi unakaribia nchi ya ahadi๐๐Hata goli 1 tu kwangu itakuwa sherehe ๐
Huyo shetani hanisumbui maana amenifunga baada ya update ๐
Yan hiyo kwake ni bora kuliko hata badge ya division one๐๐Akinifunga hiyo hapakaliki humu๐
Dah ngoja niendelee kujifua๐Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 ๐๐๐
Ujifue nini wakati anacheza na 177Cm kati kati๐๐Dah ngoja niendelee kujifua๐
Nitajaribu kuifanyia kazi hiyo 4312 nione kama itanipa matokeo mzuriiEeh mkuu maana niliona kwenye mechi unapata shida sana kuanzisha mashambulizi๐nikaona nikupe suggestions ya 4222 au 4312...
Na Kingine now unacheza Long Balls sio possession game au Quick counter wachezaji hawasogei kufata pasi wanakimbilia mbele kwahiyo jitaid uzoee pasi ndefu ni nzuri kwenye kushambulia na kupata muda wa kujiandaa defensively
Utakuwa ukichungulia tu humu ๐Akinifunga hiyo hapakaliki humu๐