eFootball Special Thread

Batistuta, mbape na messi ni combo nzuri nikiwawek pale mbele wote
Aah nilienda kuangalia kikosi chako cheza 433 ya trent cheza na back 3 ya Silivester Kama LB na Tony Adams, Vvd na Cannavaro... Kama CBs.

Then katikati cheza na Rodri, Pedri na Makelele,, Rodri DMF awe na Deepline na makelele CMF na Pedri mpe pia DMFi. Ili afanye link up play na Batistuta...

Mbele yao kdg mweke Hazard kama Ss

Mbele mweke huyo Batistuta na Raul

Batigoal na Pedri wape link up play

Then jaribu kucheza
 
Noted.. sema konami wananiletea watu wa rate ya 3190 na kuendelea
 
Timu yangu kila siku inabadirisha makocha na hakuna matokeo mazuri kama man u yenyewe... haya tumeamua tumchukue na fabio, formation gani nzuri kwa lbc na lb amnayo itaendana na huyu kocha
Mkuu hakikisha unatafuta playstyle 1 kwanza halafu ifanyie kazi vya kutosha ila ukiwa unahangaika hivi utachelewa kupata matokeo unayotaka.

Tatizo siyo kocha ila tatizo ni wewe hujajua unataka kutumia playstyle gani, komaa na playstyle 1 kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…