eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

1000037232.png
tutamalizia iliyobaki charge kipengele ✊🏾
 
Kandambili1 GOOD GAME MKUU 🔥🙌🫰

baada ya mechi ya kwanza ulinifanya niende kwenye store ya makocha wangu pale nitafute wa kunipa matokeo mana sio kwa hiyo possession game yako 🔥🥴😀
unaanza pasi nyuma kwa kipa mpaka unafika mbele unafunga mi nashikilia matchup tu 😂🙌
eFootball™_2025-09-01-23-34-40.jpg
eFootball™_2025-09-01-23-52-50.jpg
 
Kandambili1 GOOD GAME MKUU 🔥🙌🫰

baada ya mechi ya kwanza ulinifanya niende kwenye store ya makocha wangu pale nitafute wa kunipa matokeo mana sio kwa hiyo possession game yako 🔥🥴😀
unaanza pasi nyuma kwa kipa mpaka unafika mbele unafunga mi nashikilia matchup tu 😂🙌
View attachment 3461813View attachment 3461814
Nashukuru sana mkuu....yes nacheza hivyo sababu siwezi fanya movement nyingi mkuu kwenye game....hahaha nashukuru nimejifunza vingi mkuu.
 
Back
Top Bottom