eFootball Special Thread

Mimi ile afu mbili inaniuma adi leoπŸ˜‚
Ilibaki kidogo nijichanganye ila nikajiuliza maswali sana, mimi ndo nachezesha haya makatuni kama sijui sijui tu hata niwe na kikosi kikubwa kiasi gani, niliachana na huo mpango baada ya kuona unaweza kutana na mtu kikosi kina 2000+ na ukapigiwa mpira huo mpaka unatamani kuforteit mechi πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…