Goal pocher ni wazuri😃😅nme mjaribu ila naona ye na bati goal ( goal poacher) kukaa wawili ufanisi una pungua mbele
Walau hata hiyo ya Selikavu inabahati kidogo kuliko ya Myunani 😂Mimi hapa angalia namba ya wachezaji waliobaki hapo kwenye spine kutoka 250😃😃
Na nimetika hola bila epic hata mmoja nimetoka ha Highlights cards tyuView attachment 3458101
Nikaona niikumbuke Account yangu ya selikavu nikafungua nikatafuta spin 83 pale uwakika nikapata zangu Torres na Baresi shwaaa🤣🤣View attachment 3458106View attachment 3458107
Nilikuwa nataka nimchukulie yule jamaa niliyekupanga(kaua simu) sema nae kazingua mpaka J2 night.Ushajaza slot zote hilo nina uwakika🤣🤣
Mwenyewe nilienda cheza AI dvn kwaajili ya hizo tu, ndani ya siku 2 kufikisha coins 1500 siyo jambo dogo 😂Alafu hizi treasure link adi kwenye Ai division zipo nimezipata mbili za big time huko😃😃
Unafki huu 😂😂😂Na huyo torres division one uwakika kabisa😃
Mkuu nikupe beresi umpe train ya CF, utakimbiza sana huko dvn 😂😂😂😅nme mjaribu ila naona ye na bati goal ( goal poacher) kukaa wawili ufanisi una pungua mbele
selikavu huwa naikubali mno maana ina watu ambao nawahitaji..Walau hata hiyo ya Selikavu inabahati kidogo kuliko ya Myunani 😂
Utachagua mwenyewe sasa ipi uifanye main account, kupanga ni kuchagua 😂😂😂
Khalas 😂
Nimeona elfu 400 pale kijana una balaaa😃Nilikuwa nataka nimchukulie yule jamaa niliyekupanga(kaua simu) sema nae kazingua mpaka J2 night.
Sema nimekimbiza sana, Yamal ajiandae soon anatua Santos 😂
Aah wewe unachagua ambazo Zina coins chagua big time zenye Chance deal 18Mwenyewe nilienda cheza AI dvn kwaajili ya hizo tu, ndani ya siku 2 kufikisha coins 1500 siyo jambo dogo 😂
Ukwel asee hiyo ni card kaka angalia stats zakeUnafki huu 😂😂😂
Michezo hii🤣Mkuu nikupe beresi umpe train ya CF, utakimbiza sana huko dvn 😂😂😂
😹😹sha kwambia hawezi kuku okoa ,me niliku namtaka rate ya kikosi ipande tu ila angekaa benchi🥶🥶🥶🥶Mkuu nikupe beresi umpe train ya CF, utakimbiza sana huko dvn 😂😂😂
Vvd aanze mbele ta Bares mkuu??😹😹sha kwambia hawezi kuku okoa ,me niliku namtaka rate ya kikosi ipande tu ila angekaa benchi🥶🥶🥶🥶
Hivi ni unachagua au wanakuletea wenywe kutokana na mtu unaecheza nae au mm ndo sielewiAah wewe unachagua ambazo Zina coins chagua big time zenye Chance deal 18View attachment 3458324
🤣🤣kwa sababu Razorblade ana mdomo sanaVvd aanze mbele ta Bares mkuu??
Kasema anaiuza Myunani 😅Walau hata hiyo ya Selikavu inabahati kidogo kuliko ya Myunani 😂
Utachagua mwenyewe sasa ipi uifanye main account, kupanga ni kuchagua 😂😂😂
Khalas 😂
Sema username umeanza kwa herufi ndogo kama mtoto wa primary 😂😂😂selikavu huwa naikubali mno maana ina watu ambao nawahitaji..
Na now wameniongezea striker asee
Hii ya myunani ijiandae😃😃
Mkuu nimepata nyingi sana hizo halafu zinarudi kwao tu si bora coins nauhakika wa kuzitumia nikapata card.Aah wewe unachagua ambazo Zina coins chagua big time zenye Chance deal 18View attachment 3458324
Siyo mbaya lakini muhimu hajakosa kabisa 😂Ukwel asee hiyo ni card kaka angalia stats zake
Kidogo tu 😂Michezo hii🤣