Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nimemnunua fam, afu 2 tu 😂Ume mpata wapi kaka
Katika kikosi changu huyo ndo mchezaji pekee aliyesajiliwa kwa gharama kubwa 😂😂😂
Nimemnunua fam, afu 2 tu 😂Ume mpata wapi kaka
Ata mimi ila nilicho ona ona ni kwamba kila mtu anakua na gift zake afu ukicheza na mwenzio mwenye gift tofauti na zako mnakua kama mna badilishana giftsMimi sijaielewa bado
🤣🤣kila mtu aeleze alivyo elewa kama class dadekiiKwa nilichoelewa kwa uchache ni hivi:-
Mnaingia kucheza PvP ukipata ushindi unaletewa muonekano wa treasure za opponent wako kisha unachukua unayotaka, ndiyomaana watu wanakubaliana halafu wanafanya mabalishano.
Ila hata mimi sijui nilichoelezea ni nini 😂😂😂
Muhimu tuelewane 😂🤣🤣kila mtu aeleze alivyo elewa kama class dadekii
Mbele kwa mbele 😂tutajua mbele ya safari kupata treasure
Ndio mkuu Kuna muda nliona pvp Kuna exchange ya treasure na unachagua ambayo ni favourite....nafikiri tukicheza sana tutaanza kupata nafasi kama zile 30 tutaspinMbele kwa mbele 😂
Hongera fam 😂 golden boy wa Mr Devil ajipange😂View attachment 3456179
View attachment 3456182
Raha iliyoje nikapiga random booster 1 tu ikaja yenyewe.
NB: Ambao mnayo hii card kama hujaenda kucustomize training guide usijelaumu, huyu jamaa akienda juu ni kama winger 😂😂😂
Sheria ni 1 tu hakikisha unamkula zote huyo Doue 😂Razorblade shetani ananihitaji Leo😂
Hizo tackle nitavunja miguu na kiuno 😂😂😂Hongera fam 😂 golden boy wa Mr Devil ajipange😂