eFootball Special Thread

It seems match up is matching again😃😃

Or its just improvement in my kabalingi instinct🤣🤣🤣
Huenda wameigusa kidogo ifanye kazi, ukiangalia uhalisia wa beki zinavyokaba sasa hivi ni tackling sana ndiyomaana nao wameipa nguvu tackling.
 
Nina mission moja haya ya kufika division one leo ngoja niimalize japo konami wamejua kuninyoosha😃😃


Then nakuludia kaka


Maana kuanzia leo usiku muda wangu wa game utakuwa very limited
Sawa kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…