eFootball Special Thread

Nishapigwa game 3 mfululizo, naenda tena ila sasa naweka back 5 πŸ˜‚

Game limekuwa baya yani hakuna ushindani maana mtu akipata mpira ni clear/through baasi kwisha, beki zipo kuongeza idadi ya vivuli uwanjani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kandambili1 ata bonda sana watu make ata kukaba akusomeki 😹
 
😹😹 ii game nilicho ona saivi badala ya kukaba inabidi usome atapo peleka pass badala ya kupeleka mchezaje ku tackle we una mpeleka unapo hisi ata peleka pass ui block
Ndo ipo hivyo mkuu, match inazuia njia, dash ndo inayofanya kazi ya kukaba/kupora mpira.
 

Ahshante shana konami kwa neema hii mliyonipatia, 2 wins ni neema kubwa sana πŸ˜‚


Wakuu twendeni huku kutrain hii update, match up haikabi ila inakaba njia tu bila kumsogelea mchezaji pinzani, dash ndiyo inayoenda kupora mpira ukiwa tayari umedhibi njia.

Tuache kazi tufanye kazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uje uwanjani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…