Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Najua anayo mwambie ayalete, simu ilibaki 1% wakati tunacheza mechi ya mwisho na wewe πππMatokeo bila picha ni Uzushi π€£π€£π€£
Mwambie alete mkuu πLeta picha za matokeo kwanzqπππ
mwalim ananikwepa mapema kabisa π€£π€£... Ila nadhani umeona Kuna vtiu tunacheza sawa na mwalimu selikavuMwalimu unamkataa mwanafunzi wako uliyemfundisha mwenyewe π
Kampiga Razorblade nane Fanya mchezo hapa itakiwa zamu yangu keshoMwalimu unamkataa mwanafunzi wako uliyemfundisha mwenyewe π
Mkuu acha tu πππHiloooo umepigwa 8 ππππππππ
π€£π€£π€£ Mkuu ile friendly wala sikuchukulia serious sana.. sikupiga picha hahaha na sikutala yafike huku..umeleta wewe matokeoNajua anayo mwambie ayalete, simu ilibaki 1% wakati tunacheza mechi ya mwisho na wewe πππ
Utakuwa umetishaMie ninayo tu hii mpaka ikae, ila ligi ya kuanzia kesho naweza weka haram football+smart assist ili tuende sawa π
Watu kumbe mmekula vipigo kutoka kwa kandambili mnaugulia kimya kimyaπHuyo Kandambili mechi ya kwanza kanipiga 1-8 na smart assist zake, mechi ya pili katangulia goli 2 ikabidi na mimi niwashe tukaenda draw.
Namsubiri aje hapa kusema hatumii smart assist.
Game unajua na huenda hujaanza cheza hivi karibuni ila kuhusu kuwa pro nimeanza kukataa πππni heri useme wewe mkuu....wananipa cheo ambacho siwezi kufika
Ila wewe nakutukana hata PM huwezi nichezea mpira ule πππUtakuwa umetisha
Ani vile nabahatisha mkuu... ila bado sana hapa na vya kujifunza vipo vingiWatu kumbe mmekula vipigo kutoka kwa kandambili mnaugulia kimya kimyaπ
hahaha nimeanza majuzi tu....sema naokota okota ujuzi mnavyocheza nyie mkuu naibaGame unajua na huenda hujaanza cheza hivi karibuni ila kuhusu kuwa pro nimeanza kukataa πππ
π€£π€£π€£ Baada ya kuhangaika sana mkuu ndo nikaishia apo .Sina maajabuPicha linaanza kandambili yupo division 2 vs AI kwani nyie hamuogopiπ
Resemblance ipo ila wewe upo clinical zaidimwalim ananikwepa mapema kabisa π€£π€£... Ila nadhani umeona Kuna vtiu tunacheza sawa na mwalimu selikavu
Hukua serious na ukapiga mtu 8ππ€£π€£π€£ Mkuu ile friendly wala sikuchukulia serious sana.. sikupiga picha hahaha na sikutala yafike huku..umeleta wewe matokeo
Kwa mfumo naotumia pamoja na playstyle inabidi nitumie DMF kuanzisha mashambulizi ndiyomaana najaribu kupiga pasi nyuma ili kufungua nafasi kwa DMF.hahaha nimeanza majuzi tu....sema naokota okota ujuzi mnavyocheza nyie mkuu naiba
Ni kanuni yetu kuleta matokeo hata ufungwe 10 ππ€£π€£π€£ Mkuu ile friendly wala sikuchukulia serious sana.. sikupiga picha hahaha na sikutala yafike huku..umeleta wewe matokeo
Nauguliaje kimya kimya na nimesema mkuu πππWatu kumbe mmekula vipigo kutoka kwa kandambili mnaugulia kimya kimyaπ