Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Wewe nae ntakupa tusi, hizo ndege kakufundisha nani πππRazorblade sina hicho kifua likija swala lako utanisemehe tuuππ
Sema unapiga pass siku hizi kakaπππasee kwel sex football
Vip unamzingumziaje Halaand
View attachment 3437982
Smart assist inakera sana basi tuuUsiseme upepo sema pepo baya π
Ila kuna watu wanatumia smart assist vibaya bora waiondoe tu π
Division mzee mpira kazi kazi tuuπ€£π€£π€£Wewe nae ntakupa tusi, hizo ndege kakufundisha nani πππ
Hahahaha mkuu matokeo usiyalete hapa π€£π€£π€£π€£Kuna wewe na Kandambili1 hamna wachezaji hapa πππ
Chukuaen madini hayo kutoka kwa Shivooo master Kandambili1Hahahaha mkuu matokeo usiyalete hapa π€£π€£π€£π€£
Game ya pili umecheza vizuri sana na inapaswa kucheza hivyo mkuu ...pia punguza dribble na pass eneo la defence ...pasi zipigie sana phase ya pili pale kwa midfieldasante kwa game nzuri bro
Hahahaha hii account itaendelea mkuu....Sina nyingine.Endelea kaka ukichoka utakuja na main account yako π€£π€£
Huyo Kandambili mechi ya kwanza kanipiga 1-8 na smart assist zake, mechi ya pili katangulia goli 2 ikabidi na mimi niwashe tukaenda draw.Smart assist inakera sana basi tuu
Ndiyomaana dvn siku hizi nafungwa sana, pira la ajabu+smart assist πDivision mzee mpira kazi kazi tuuπ€£π€£π€£
Nane kaka hii ya juzi amaπππ Kandambili1 ni pro mzeeπ€£π€£πHuyo Kandambili mechi ya kwanza kanipiga 1-8 na smart assist zake, mechi ya pili katangulia goli 2 ikabidi na mimi niwashe tukaenda draw.
Namsubiri aje hapa kusema hatumii smart assist.
Wewe hamna kitu bhana, hizo pasi huko nyuma napiga kwa makusudi fulani.Hahahaha mkuu matokeo usiyalete hapa π€£π€£π€£π€£
Game ya pili umecheza vizuri sana na inapaswa kucheza hivyo mkuu ...pia punguza dribble na pass eneo la defence ...pasi zipigie sana phase ya pili pale kwa midfield...asante kwa game nzuri bro
Cheza mpira matokeo hukoπππ ila komaa na passing game yako mkuu utafika mbali imeanza kukulipa mdg mdg unakujaNdiyomaana dvn siku hizi nafungwa sana, pira la ajabu+smart assist π
Matokeo bila picha ni Uzushi π€£π€£π€£Huyo Kandambili mechi ya kwanza kanipiga 1-8 na smart assist zake, mechi ya pili katangulia goli 2 ikabidi na mimi niwashe tukaenda draw.
Namsubiri aje hapa kusema hatumii smart assist.
Kabla sijaingia na wewe room nilikuwa nae yeye, hakuna pro hapo nimeanza kukataa πππNane kaka hii ya juzi amaπππ Kandambili1 ni pro mzeeπ€£π€£π
Leta picha za matokeo kwanzqπππKabla sijaingia na wewe room nilikuwa nae yeye, hakuna pro hapo nimeanza kukataa πππ
mkuu π€£π€£Huyo Kandambili mechi ya kwanza kanipiga 1-8 na smart assist zake, mechi ya pili katangulia goli 2 ikabidi na mimi niwashe tukaenda draw.
Namsubiri aje hapa kusema hatumii smart assist.
Hiloooo umepigwa 8 ππππππππHuyo Kandambili mechi ya kwanza kanipiga 1-8 na smart assist zake, mechi ya pili katangulia goli 2 ikabidi na mimi niwashe tukaenda draw.
Namsubiri aje hapa kusema hatumii smart assist.
Mwalimu unamkataa mwanafunzi wako uliyemfundisha mwenyewe πEndelea kaka ukichoka utakuja na main account yako π€£π€£
ni heri useme wewe mkuu....wananipa cheo ambacho siwezi kufikaKabla sijaingia na wewe room nilikuwa nae yeye, hakuna pro hapo nimeanza kukataa πππ
Mie ninayo tu hii mpaka ikae, ila ligi ya kuanzia kesho naweza weka haram football+smart assist ili tuende sawa πCheza mpira matokeo hukoπππ ila komaa na passing game yako mkuu utafika mbali imeanza kukulipa mdg mdg unakuja
π nikutane na wewe tuMie ninayo tu hii mpaka ikae, ila ligi ya kuanzia kesho naweza weka haram football+smart assist ili tuende sawa π