eFootball Special Thread

Fainal me vs Mr Devil

Fainal ilikuwa ngumu leo maana hakuna mtu aliyetaka kufanya makosa 😃🙌

Good game mkuu Mr Devil ur deserved kuwa Finalists


Game nilianza kwa kumfunga akachomoa tukaanza kutafutana wee dakika za jioni amenichezea Rafu ndani ya box nikapewa tuta nikapiga kamba...😃😃

Mr Devil akapata counter attack dakika ya 92 ikawa offside naona akaamua atoke na room kabisa 😃😃

Me nikapiga zangu la tatu maana huruma sio malezi fainali hii



 
Ila Bingwa una paaa sana asee weka mpira chini 😹😹
😹😹ila konami, ilo la 3 limeingia sa ngapi tena
 
Amekula chuma akaona afanye kupanda ndege hahaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…