eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

hahahaha nachukia penalty hahahaha.....well done mkuu....unacheza vizuri sana Kuna mistakes nilizifanya game ya pili nikaweka tu twende sawa nkarudi na goli 2... Umeiva sana mkuu natafuta suluhisho la huyo bwana batistuta.. zile long balls hapana
Mfumo wangu uli kataa game ya kwanza , game ya pili nili badili formation 😅😅naona uli muwekea tight marking bati goal
 
Mimi zidi ya Negan

Game ya Kwanza
Screenshot_20250809-232501.png


Game ya pili nilitoka kwenda kuanzisha mechi chap nikasahau kuscreenshot ila matokeo yalikuwa hivi
Screenshot_20250809-234728_1.jpg


Game ya tatu
Screenshot_20250810-002825.png


NEGAN much appreciation dakika 300 zimeamua
 
Back
Top Bottom