Malizana kwanza na Kandambili πππ kandambili apewe negan hadi kipa wake ana dribble
Ungeingia nae room halafu ndo ungejua kwanini nimerusha aviator πππRazorblade unarusha sana ndege sio aviator hio
Kwako sitoboi mkuu....hiki kikosi umesaidia sana kuniundia mkuu....shukrani sana.Wakati me nafungwa mlikuwa mnaona ni utani eehπ€£π€£
Aah wap kakaπππnimecheza na wewe game nyingi haun unoob kakaπ€£π€£π€£Mkuu mimi ni noob kabisa....ukiangalia pasi zangu utagundua nabahatisha sana
Acha michezo wewe πππShukrani mkuu...bado najifunza
hahaha nitajitahidi kupanda ndege kuanzia nusu fainali maana ndio tumemaliza mwendo tayari
Kaka najuta πππleo me ndo wa kuanza kujifunza vitu kwenye mpira wake kwelπππhapa tulichezwaπ€£π€£π€£Niliwahi gusia hiki wakati Selikavu ana mfundisha trick , match nilio panda nae nikaona uyu ni pro kabisa kasoro kikosi πΉπ Kandambili1 katuingiza kwenye mtego
Mtego huoπAcha michezo wewe πππ
π€£π€£π€£π€£Acha tu kaka naelewa situation yako nimecheza nae siku si nyingiOyaa kiumbe kinatwanga bila huruma halafu mnadema ni noob πππ
Mtu anachezaga division two na wachezaji wake wa standardπππJamaa ana knowledge zote nachunguliaga account yake napita kimyaπ
Jamaa hana hata huruma, huenda sub pia zimeniponza πKaka najuta πππleo me ndo wa kuanza kujifunza vitu kwenye mpira wake kwelπππhapa tulichezwaπ€£π€£π€£
Mkuu bahati zipo sana...hii bahati leo kukupiga...Sina ujuzi huoAcha michezo wewe πππ
Nenda kamkabe Puskas mbona unamkimbiaπ€£π€£ππ kandambili apewe negan hadi kipa wake ana dribble
Anajikuta panya, ukute hii account anaitumia huku JF tu πππMtego huoπ
Fainally ukarusha ndege π€£π€£Imebidi nirushe aviator mkuu, ulikuwa bora sana π
Hapa tumepigwa ππππ€£π€£π€£π€£Acha tu kaka naelewa situation yako nimecheza nae siku si nyingi
Yenyewe π€£π€£Razorblade unarusha sana ndege sio aviator hio
Haha mkuu mbona umenipiga game kibao tu π€£π€£ vipigo vinasaidia kujifunzaKaka najuta πππleo me ndo wa kuanza kujifunza vitu kwenye mpira wake kwelπππhapa tulichezwaπ€£π€£π€£
Labda kama unamzungumzia Bahati Bukuku πππMkuu bahati zipo sana...hii bahati leo kukupiga...Sina ujuzi huo