Nenda kaangalie tu mpira kakaNilidhani nitakuwa na mood nzuri ya kucheza game badala yake akili inaiwaza Real Madrid tu, nimecheza mechi 2 zote nimefungwa, vidole vizito balaa ๐.
Sioni comeback mkuu naenda kufanya nini sasa.Nenda kaangalie tu mpira kaka
Bila shaka mkuu.Wazee vipi Galaxy S10 ina run hili game kweli na mimi niinjoy
Na ni wengi walikuwa na net ya hovyo1. Mbinu ya Peer-to-peer (P2P).
Wapinzani wanaungana moja kwa moja. Kupitia njia hii, watumiaji wanaweza kushindana dhidi ya kila mmoja kwa urahisi, hata katika maeneo yaliyo mbali na seva za mchezo. Hata hivyo, uchezaji wa mchezo utaathiriwa na ubora wa muunganisho wa kila mtumiaji (upungufu, uthabiti, n.k.).
View attachment 3307146
2. Mbinu ya Mteja-Seva
Watumiaji huunganisha kwenye seva ya mchezo na data inatumwa na kupokelewa ili mechi ziweze kuchezwa. Kila muunganisho wa mtandao wa mtumiaji hauathiriwi na ubora wa muunganisho wa mtumiaji mwingine (upungufu, uthabiti, n.k.) au utendaji wa kifaa. Kwa kuwa seva ya mchezo inadhibiti muunganisho na maendeleo ya mechi, inafaa katika kuzuia udanganyifu na kubaini mshindi wakati mtu anakata muunganisho.
View attachment 3307147
Selikavu kama ulipanda dvn kwa sababu baadhi ya wapinzani wako network yao kuwa mbovu safari hii kitakuramba ๐.
Shukuru mungu kwa kupata badge ya dvn 2, yajayo yanafurahisha ๐.Na ni wengi walikuwa na net ya hovyo
Sena walinipigia script hiyo moja hataree
Nilivyofika 1480 nilianza kupewa watu wa 3160 plus tuu
Nipo tayali kabisa๐๐๐Shukuru mungu kwa kupata badge ya dvn 2, yajayo yanafurahisha ๐.
Mwenyewe sina ya 5 star ila huyu kane leo simuachi.Update tayali ..
Nilitumia nominating contract zangu vibaya alafu wamewaleta Kane na Calhanolgu nawataka na nikichek nominating contract kwenye match pass ya 5star ipo moja
Hapo vs AI wamenikamata. Nitacheza huko tu na friend matchesHawa jamaa wanazidi kutaka kuteka watu kwa hizi update zao.
View attachment 3307347
View attachment 3307354
View attachment 3307355
Wameamua kutuwekea machaguo kwenye efootball league, binafsi siwezi cheza kwenye AI maana inakuhitaji point nyingi kuwa promoted kuliko PvP.
Me nishamchukuaMwenyewe sina ya 5 star ila huyu kane leo simuachi.
Hapa kwenye Ai nitacheza mno wasinipe tu Aston VillaHawa jamaa wanazidi kutaka kuteka watu kwa hizi update zao.
View attachment 3307347
View attachment 3307354
View attachment 3307355
Wameamua kutuwekea machaguo kwenye efootball league, binafsi siwezi cheza kwenye AI maana inakuhitaji point nyingi kuwa promoted kuliko PvP.
Wangetuacha fu bila smart assistSmart assist kwenye division ๐ฎ
Mkuu huo unaweza kuwa mtego, mechi zake zinaweza kuwa ngumu kuliko PvP.Hapo vs AI wamenikamata. Nitacheza huko tu na friend matches
Me nishamchukua
Nadhan drogba sio muda ataenda reserve๐