eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Me na Kandambili1 tumetoka draw game zote

Kandambili1 hongera kaka umeiva🙌


Hii ya kwanza alitoka mapema net ilimzngua ya pili na mimi nikamfunga moja tuu kwa agg ni 1:1
Screenshot_20250805-230557.png
Screenshot_20250805-235242.png
 
Me na Kandambili1 tumetoka draw game zote

Kandambili1 hongera kaka umeiva🙌


Hii ya kwanza alitoka mapema net ilimzngua ya pili na mimi nikamfunga moja tuu kwa agg ni 1:1
View attachment 3432960View attachment 3432962
Hahaha mkuu Asante aiseh Kuna muda niliona kama upo na back 5 nikawa nashindwa napitaje kuja kuangalia upo na back 4 tu kama kawaida..

Nashukuru sana...licha ya kutaka kishililia bomba Torres amekuja kufanya kazi.

Torres mzingatie mkuu naona yupo vyema sana kwako....Asante nazidi jifunza mkuu.
 
Hahaha mkuu Asante aiseh Kuna muda niliona kama upo na back 5 nikawa nashindwa napitaje kuja kuangalia upo na back 4 tu kama kawaida..

Nashukuru sana...licha ya kutaka kishililia bomba Torres amekuja kufanya kazi.

Torres mzingatie mkuu naona yupo vyema sana kwako....Asante nazidi jifunza mkuu.
Aah sawa sawaa master nitamzingatia😃
 
Back
Top Bottom