Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Acha bhana nakumbuka ulitaka kufanya comeback mchana kweupe, sasahivi unaubonda tofauti na mwanzo ulikuwa unatumia sana ndege ๐.Usimsikilize Negan achana nae mtandao wake ulikuwa unazingua...
Alfu muda kucheza nae ni huu kioo bado kibovu๐๐
Mkuu nimebakiza point 67 ila hizi navizia wakati wa mechi za uefa nione kama nitapata wakuwaokota ๐.Phase inaisha kesho Selikavu phase ijayo unaanzia division 4 ila Razorblade wanakuporomosha divison 5๐
Mkuu niache ๐.Aah sawaa
Razorblade komaa nikipata badge lazima niliweke pale kwenye avatar yangu kukufokea kaka๐๐
Huwezi kunifunga na badge ya division two ninayo lazima nikutambie kaka
Alisikika mbutuaji maarufu Jf๐
Bila kuchoka๐Konami walichonifanyia sina hamu, nilikuwa nimefikisha points 1435 nikawa napiga hesabu bado mechi 3, daah mechi iliyofata nimefungwa wakakata point 29 iliyofata nikapata sare wakakata point 5.
Hiyo script yao inatia hasira ila haijaisha mpaka iishe ๐.
Unawataka watanzania tuu๐๐Nilikandwa sana jana ikabidi kwenye matchmaking niweke nearby area ๐, halafu nikiwa uwanjani nikitangulia kushinda tu naweka ultra defensive ๐.
Me napenda kumuweka halaand upande huo ili akienda ameendaBasi ndo walichonifanyia mkuu na mara 2 nimeletewa watu collective strength za vikosi vyao haifiki 3000 ila wanagonga mali hakuna ๐.
Kuhusu messi mkuu ni kama vile umenitoa usingizini hata sijui niliwaza nini kumuweka kulia, Shukrani sana.
Wewe mwenyewe siku ile ulizembea mpka ukajichekaAcha bhana nakumbuka ulitaka kufanya comeback mchana kweupe, sasahivi unaubonda tofauti na mwanzo ulikuwa unatumia sana ndege ๐.
Komaa komaa kaka nikipata badge lazima ikae pale kukutia hasira๐๐Mkuu nimebakiza point 67 ila hizi navizia wakati wa mechi za uefa nione kama nitapata wakuwaokota ๐.
Hata mimi na loss zangu 30 safi kabisa๐View attachment 3306418Nisubiri update nianze upya.
Siendi angalia mechi za uefa leo nataka nijaribu bahati yangu kwa point zilizobaki.View attachment 3306418Nisubiri update nianze upya.
Na bado kuna watu ukikutana nao unaomba maji ๐.Unawataka watanzania tuu๐๐
Nitamtumia Mbappe badala ya Messi.Me napenda kumuweka halaand upande huo ili akienda ameenda
Mkuu kweli umeamua kutaka kunikera ๐.Wewe mwenyewe siku ile ulizembea mpka ukajicheka
Komaa komaa kaka nikipata badge lazima ikae pale kukutia hasira๐๐
Kaza vidole mkuu mbona bado point chache tu.Ngoja niishie hapa tuView attachment 3306501
KUna watu wamezaliwa wanacheza hiliNa bado kuna watu ukikutana nao unaomba maji ๐.
Unaniiga.. kama una bahati nzuri mtafutie through pass Torres atakusaidia sana akikaa na mbappe..Nitamtumia Mbappe badala ya Messi.
Makero hayana budi kuja kakaMkuu kweli umeamua kutaka kunikera ๐.
Pamoja mkuu.Unaniiga.. kama una bahati nzuri mtafutie through pass Torres atakusaidia sana akikaa na mbappe..
Alafu striker wako wa akiba jitaid apate supersub...
Me naona zimenisaidia kaka
Through za Torres akiwa na mbappe mbele nyingi zinapita
Alafu drogba alipata supersub akiingia na ule upoacher wake anawasha moto mno
Kila la kheri kaka