Mbinu za kivitaWabongo jau sana sasa si ujinga huo kwani ukikubali kufungwa kunashida gani, jitu limeweka hadi namba yake ya simu π‘
Ujinga tu wanafanya.Mbinu za kivita
Kaka jamaaa kakusubili mnoππ
π€£umeingia kichwa kichwa utakula za uso home and away , Kandambili1 ana point zangu sina hofu nae ,nime umia kukosa point zangu kwa RazorbladeWakuu niombeeni nimeenda kucheza na Kandambili1 Room aseee nimezibuliwa haswaaaπππ
Alafu nina game nae za ligiππ
Humu ndani kila mtu pro sasa
Mr Devil huyu Kandambili1 hafai kakaπππ tutafute tu mwingine wa kutupa pointsπ€£π€£π€£π€£
View attachment 3431609View attachment 3431610
Umezikosaje mkuuπ€£umeingia kichwa kichwa utakula za uso home and away , Kandambili1 ana point zangu sina hofu nae ,nime umia kukosa point zangu kwa Razorblade
Umeepushwa na zahma mkuu πAsee mkuu nikasema ni boost cm chaj kidogo tupande ndo nashtuka saiv πΉπ«‘
Mkuu huyo sio mimi hahahaha....siwezi furukuta hivo kwako bado najifunzaWakuu niombeeni nimeenda kucheza na Kandambili1 Room aseee nimezibuliwa haswaaaπππ
Alafu nina game nae za ligiππ
Humu ndani kila mtu pro sasa
Mr Devil huyu Kandambili1 hafai kakaπππ tutafute tu mwingine wa kutupa pointsπ€£π€£π€£π€£
View attachment 3431609View attachment 3431610
Mkuu nililala saa 6 hivi baada ya net kuwa ya shida.....pia ni sheria tu ila ningeweza ningependa tucheze game zote 2.
πππAweeee michezo hiyoMkuu huyo sio mimi hahahaha....siwezi furukuta hivo kwako bado najifunza
πtuta kutana tu uko mbeleUmeepushwa na zahma mkuu π
Hamna kitu kama hichi mkuuπ€£π€£ kuanzia saa 1:30 nitakuwa hewani mkuu....tutachekiana bro...mkawe na productive dayπππAweeee michezo hiyo
Uje baadae uchukue points zakoπππ
Dah! Ile siku nilisema natumia coins 300 tu ili zibaki 1500, kilichonikuta mpaka sasa nahisi huenda kuna kauchawi konami wanatumia πππBraza kaka Razorblade habari za Asubuhi π€£π€£View attachment 3431923
Wewe umekimbja halafu umrsingia usingizi ππtuta kutana tu uko mbele
Nipo Pale niite Didier Drogba MavambovicπππDah! Ile siku nilisema natumia coins 300 tu ili zibaki 1500, kilichonikuta mpaka sasa nahisi huenda kuna kauchawi konami wanatumia πππ
Baada ya update ya 2026 nimedhamiria kutunza coins mpaka mwaka unaisha.
I can, I must, I will
Acha nitembee na kauli mbiu yangu ya enzi za shule πππ