Sasa kaka unataka nibadilishe sheria kisa wewe umefikisha point 6ππMkuu embu chukua hiyo table halafu mpe jirani yako aiangalie π
Wewe unachotaka kuchezesha hakipo ila chuki binafsi π
Kaka panga unavyotaka iwe hakuna neno... Nitumie niweke hivyo sio kesiπMkuu mimi sijitetei hapa ila kchezesha play off katika ya Mr Devil mwenye point 3 na Edo mwenye 0 siyo sawa, kuchezesha play off kati yangu mwenye point 6 na Mill mwenye point 3 siyo sawa.
Hapo Edo anatoka moja kwa moja halafu naenda kama best loser kisha napaswa kusubiri mshindi kati ya Mill na Mr Devil hii ndo itakuwa sawa.
Selikavu anayake tu siyo kwamba haelewi π
Tupo mkuuπInasikitisha sana
Nakubali nakubali bossTupo mkuuπ
Hapo siyo kubadilisha sheria mkuu ila hiyo itakuwa utapeli unafanyika, sheria ya kucheza play off izingatie table πSasa kaka unataka nibadilishe sheria kisa wewe umefikisha point 6ππ
Wajumbe niliwaomba huyu mtu abaki huko huko chini asije juuπππmmemwacha ona anaanza kutamba sasaππ
Weka mfumo wa point hii haiko sawa mkuu, idadi ya point kadhaa wanakuwa qualified kwa round inayofata chini ya hapo wanacheza play off kwa kuzingatia idadi ya point na wengine kuwa eliminated direct wakikosa point za kucheza play off.Ligi ijayo approximately wataongezeka watu wanne.. jumla tutakuwa kumi mfumo utakuwa ni huu huu
Tunaanza na League game tatu/nne
Tunaenda playoffs namba 3 mpaka namba 6
7,8,9 na 10 wanakuwa wameaga
Tumia format ya UEFA mkuu.
Kumbe hukufuatilia kakaTumia format ya UEFA mkuu.
Qualified(Idadi ya point)
Playoff(Idadi ya point)
Eliminated(Kushindwa kufikisha point za playoff)
Mkuu unataka koforce, hapo baada ya kufungana point wameangalia Goal Difference na ndo kitu ambacho nilitaka niseme pia πKumbe hukufuatilia kaka
Haikuwa idadi ya point ilikuwa ni hivi wa 9 mpaka wa 24 wanacheza playoff
Club Brugge kamaliza na point 11 nafasi ya 24 kapita playoffs
Dinamo Zagreb kamaliza na point 11 nafasi ya 25 katoka
Wewe na point zako 6 best loser okayπππ
Mamiyake π€£
View attachment 3426624
Wakikuokoa, Ile game ulikuwa ushajaa kwenye mfumo ππΉgame ya 1 maboya yali anza kupiga simu
π π mtu na points zake 6 anapambania playoff..Wakuu polen na match za leo kwa wale mliofanikiwa kucheza Hongeren ...
Kwa wale wa point za mezani sina cha kuwaambiaπ€£π€£
Matokeo ya leo ni hayaView attachment 3426563
Msimamo View attachment 3426564
Hatua inayofata ni playoffs kama ambavyo nilitoa ratiba itakavyokuwa kulingana na msimamo mechi za playoffs ni zifuatazoView attachment 3426568
Hii nakata rufaa mkuu π
Siforce kaka nimekuelezeaMkuu unataka koforce, hapo baada ya kufungana point wameangalia Goal Difference na ndo kitu ambacho nilitaka niseme pia π
View attachment 3426649
Weka hizo play off tucheze hakuna tatizo π
Sasa hili ni kosa la promoter kutosimamia vizuri, tulikubaliana mwisho kucheza ni saa 6:00Siforce kaka nimekuelezea
Huyo mtu unayesema hana point kikanuni alikuwa na point 3 na magoli matatu ya siku ya kwanza kwa sababu opponent hakutokea lakin alikubali kucheza siku inayofata....
Bado game yake moja hakucheza na alikuwa na room ya kucheza lakin akaomba opponent apewe point
Kwahiyo issue sio point kaka ni mfumo tulivyokubaliana
Ndo league imeanza mkuu muda mwingine tunatumia busara..Sasa hili ni kosa la promoter kutosimamia vizuri, tulikubaliana mwisho kucheza ni saa 6:00
Kama ungefata sheria ya muda wa mechi haya yasingejitokeza π
Wajumbe mnakubali vipi wizi kweupe hivi πWakuu Mill Broh kakimbiwii lazima ukabe back 5 na full blueπ€£π€£π€£π₯π₯
Razorblade (Best loser) vs Mill broh
Mr Devil vs Edo kissy
Kila nafsi itaonja Back five π€£π€£π€£
View attachment 3426693