Aje tu achukue pwenti zake mie sina shida 😂Kaa hapa umngojee😃😃
Drogba yupo anamsubiri😀Aje tu achukue pwenti zake mie sina shida 😂
Mkuu punguza presha huyo uliyemtag siyo mwenyewe 😂mill broh tumalizane kabisa nichape usingizi😀
Ingia kwenye gameUko wapi mkuu nikupe pwenti zako 😂
Ndo naingia hapa baada ya kumalizana na mizimu ya 666 😂
Drogba kawaka mkuu, ila leo nimeongea sana huko room kazi nitakuwa nayo 😂Drogba yupo anamsubiri😀
Utajitetea tusubiri yako irudiMkuu simu yangu ilipata shida kidogo ila tuma code nina simu ya mtu hapa ana Efootball twende...
Nakuja mkuu nipe dakika kadhaa nihamishe laini.Ingia kwenye game
Unaendelea kuruka ruka 🤣🤣🤣Nakuja mkuu nipe dakika kadhaa nihamishe laini.
Namuogopa osimhen😀Mkuu punguza presha huyo uliyemtag siyo mwenyewe 😂
Tuma invite hiyo nafungua game hapa 😂Unaendelea kuruka ruka 🤣🤣🤣
Kazi njema 😂Namuogopa osimhen😀
Hapana mkuu nipo vzrUtajitetea tusubiri yako irudi
Kuruka ruka kwa maharage🤣🤣🤣ndo kuiva kwenye huko😃😃Unaendelea kuruka ruka 🤣🤣🤣
Tupande saivi nilale.Nipo mkuu
Adhabu yako inaenda kuongezeka mi natuma invite dakika zote haufiki 😅😅Tuma invite hiyo nafungua game hapa 😂