Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Kabadili kauli dk za jioni et🤣🤣Njoo wewe nikushone leo umeongea sana 😅😅😅
Kabadili kauli dk za jioni et🤣🤣Njoo wewe nikushone leo umeongea sana 😅😅😅
😅😅ndo naenda getto mkuu, saa 23:00 tupande ukija nw smart assist point uta bebea kwangu hadi pale Kandambili1 atapo ingia kwenye gameMr Devil uje ubebe point
Zimekatazwa hizo mkuu #No smart assist nahisi ndio sababu nitafungwa sijawahi cheza bila smart assist 😂😅😅ndo naenda getto mkuu, saa 23:00 tupande ukija nw smart assist point uta bebea kwangu hadi pale Kandambili1 atapo ingia kwenye game
Zimekatazwa hizo mkuu #No smart assist nahisi ndio sababu nitafungwa sijawahi cheza bila smart assist 😂
Imeanza linii?Mkuu upo kuna league huku
Sema tumewapiga suprise attack mpaka mzoee mpira wa bila smart assist itawachukua muda kidogoEbu tuone😂🙌
Jana mkuu ila jumapili inaisha tunaanza nyingine jumatatu uwepo mkuu😃😃Imeanza linii?
Sawa sawaJana mkuu ila jumapili inaisha tunaanza nyingine jumatatu uwepo mkuu😃😃
Tupo pamoja mkuuSawa sawa
Tupashe saiv moja?Tupo pamoja mkuu
Hiyo jumatatu na mimi nitashirki kwasasa acha niwe mtazamajiJana mkuu ila jumapili inaisha tunaanza nyingine jumatatu uwepo mkuu😃😃
Mkuu simu yangu ilipata shida kidogo ila tuma code nina simu ya mtu hapa ana Efootball twende...Tupashe saiv moja?
Sawa sawa mkuu karibu sanaHiyo jumatatu na mimi nitashirki kwasasa acha niwe mtazamaji
Uko wapi mkuu nikupe pwenti zako 😂Razorblade umekimbia sio
Ndo naingia hapa baada ya kumalizana na mizimu ya 666 😂Matokeo yapo wapi Razorblade 😀
Upo hewaniZimekatazwa hizo mkuu #No smart assist nahisi ndio sababu nitafungwa sijawahi cheza bila smart assist 😂
Kaa hapa umngojee😃😃Uko wapi mkuu nikupe pwenti zako 😂
Ndo naingia hapa baada ya kumalizana na mizimu ya 666 😂