๐๐๐EwaaaaAah familia nllisahau vipi hii๐
NO SMART ASSIST
๐คฃ๐คฃ๐คฃTutaomba hili swalaUnyama sana, kasimu kangu kakijitoa kwenye game hakuna kurudia ni kukata points tu.
Ila ban muhimu kwa wa kwanza kutoka na atakayekosa mechi 2 mfululizo siyo 3 tena ๐
Muanze kujifua sasa๐๐๐๐ฅSmart assist hairuhusiwi ukigundulika unaombewa ban ๐
Nipo full mkoko na hivi sichez hizi league za mwanzo๐๐Promoter Selikavu hacheki na wowote๐
Muda wa mechi za mzunguko husika uwe kuanzia saa 4:00 mpaka saa 5:59, mechi zitazochezwa nje ya huo muda hazitahesabika.๐คฃ๐คฃ๐คฃTutaomba hili swala
Mimi nipo vizuri mkuu ๐Muanze kujifua sasa๐๐๐๐ฅ
Ko tuanze kukiwasha leo au ?Active mpo sita ๐ unaweka kama UEFA ilivyo... Mnaanza na League kila mtu anacheza mechi zake hata tatu Kwanza mkimaliza wawili wa juu wanaenda Nusu fainali moja kwa moja waliobaki wanne wanacheza playoffs... Wanapatikana wawili wanakuja kucheza Nusu fainali then Fainali league imeisha
We ndo bodi ya ligi ๐๐Muda wa mechi za mzunguko husika uwe kuanzia saa 4:00 mpaka saa 5:59, mechi zitazochezwa nje ya huo muda hazitahesabika.
We andaa tuu tuanze jumatatu ijayo๐๐Ko tuanze kukiwasha leo au ?
Mangungu๐คฃ๐คฃWe ndo bodi ya ligi ๐๐
Nisamehe mkuu ๐๐List batiri bila kuwepo mleta Uzi๐
Aaah sawaWe andaa tuu tuanze jumatatu ijayo๐๐
Nimejaribu kuandaa nimeshindwa๐๐sijawai tumia hiyo appAaah sawa
Ndo nipo naingiza majina hapa.. nishasahau wengineNimejaribu kuandaa nimeshindwa๐๐sijawai tumia hiyo app
Utaniuliza tuu๐๐Ndo nipo naingiza majina hapa.. nishasahau wengine
Mpaka saivi tupo live Razorblade unashikilia mkia mkuu ๐๐๐
kuna anaeongezeka?? ๐
View attachment 3423151
Aisee mbona mapema sana ๐Mpaka saivi tupo live Razorblade unashikilia mkia mkuu ๐๐๐
kuna anaeongezeka?? ๐
View attachment 3423151
Wakuu nisaidien huyuy jamaa asitoke huko chini๐คฃ๐คฃ๐คฃMpaka saivi tupo live Razorblade unashikilia mkia mkuu ๐๐๐
kuna anaeongezeka?? ๐
View attachment 3423151