Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,541 Mill broh said: Haram Football si inaruhusiwa lakini! Click to expand... Muhimu uwe bingwa tu. Wakwanza kutolewa kwenye shindano anaombewa ban π Nasisitiza hizi ban zitafanya tupambane zaidi maana hakuna zawadi π
Mill broh said: Haram Football si inaruhusiwa lakini! Click to expand... Muhimu uwe bingwa tu. Wakwanza kutolewa kwenye shindano anaombewa ban π Nasisitiza hizi ban zitafanya tupambane zaidi maana hakuna zawadi π
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,295 Jul 29, 2025 #7,542 Razorblade said: Aaah familiya yangu kabisa wewe, hivi ndo nilivyokuwa nafikiria π J'Mosi anatafutwa mshindi wa 3 halafu J'Pili Final, hii ni kuongeza ladha tu katika shindano. Halafu J3 ngoma inaanza tena π Click to expand... Ushindwe wewe tuu kushinda sasa
Razorblade said: Aaah familiya yangu kabisa wewe, hivi ndo nilivyokuwa nafikiria π J'Mosi anatafutwa mshindi wa 3 halafu J'Pili Final, hii ni kuongeza ladha tu katika shindano. Halafu J3 ngoma inaanza tena π Click to expand... Ushindwe wewe tuu kushinda sasa
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,295 Jul 29, 2025 #7,543 NEGAN ni wakati wako wa kumpata Baia Wanaongeza muda
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,544 Selikavu said: Ushindwe wewe tuu kushinda sasa Click to expand... Ban zinanisubiri π
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,545 Selikavu said: Negan ni wakati wako wa kumpata Baia Wanaongeza mudaView attachment 3423042 Click to expand... Mimi namtaka yule Kante au Serginho.
Selikavu said: Negan ni wakati wako wa kumpata Baia Wanaongeza mudaView attachment 3423042 Click to expand... Mimi namtaka yule Kante au Serginho.
Gilberto_ JF-Expert Member Joined Aug 29, 2024 Posts 904 Reaction score 2,514 Jul 29, 2025 #7,546 Selikavu said: Nitawaletea Rashford oohπππmkimbie humuπ€£π€£ Click to expand... Naleft JF ππ
Selikavu said: Nitawaletea Rashford oohπππmkimbie humuπ€£π€£ Click to expand... Naleft JF ππ
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,295 Jul 29, 2025 #7,547 Razorblade said: Mimi namtaka yule Kante au Serginho. Click to expand... Kante mzeeππ
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,295 Jul 29, 2025 #7,548 Gilberto_ said: Naleft JF ππ Click to expand... HAkuna sehemu utaenda na League utachezaπ€£π€£π€£
Gilberto_ said: Naleft JF ππ Click to expand... HAkuna sehemu utaenda na League utachezaπ€£π€£π€£
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,549 Selikavu said: Kante mzeeππ Click to expand... Mie wanipe tu hiyo card π
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,295 Jul 29, 2025 #7,550 Razorblade said: Mie wanipe tu hiyo card π Click to expand... Ile card mzee ni kama Cannavarro ππ
Razorblade said: Mie wanipe tu hiyo card π Click to expand... Ile card mzee ni kama Cannavarro ππ
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 Jul 29, 2025 #7,551 Mill broh said: Haram Football si inaruhusiwa lakini! Click to expand... Ni wewe tu haram ball, drone foltball, rafu, back pass, tiki taka zinaruhusiwa ambacho hakiruhusiwi ni cheating ya network tu
Mill broh said: Haram Football si inaruhusiwa lakini! Click to expand... Ni wewe tu haram ball, drone foltball, rafu, back pass, tiki taka zinaruhusiwa ambacho hakiruhusiwi ni cheating ya network tu
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,295 Jul 29, 2025 #7,552 NEGAN said: Ni wewe tu haram ball, drone foltball, rafu, back pass, tiki taka zinaruhusiwa ambacho hakiruhusiwi ni cheating ya network tu Click to expand... Smart assist ππ
NEGAN said: Ni wewe tu haram ball, drone foltball, rafu, back pass, tiki taka zinaruhusiwa ambacho hakiruhusiwi ni cheating ya network tu Click to expand... Smart assist ππ
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 Jul 29, 2025 #7,553 Razorblade said: Na asipokuwa active kwenye mechi 3 mfululizo tunamuombea ban π Click to expand... Ubaya ubwelaπ
Razorblade said: Na asipokuwa active kwenye mechi 3 mfululizo tunamuombea ban π Click to expand... Ubaya ubwelaπ
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 Jul 29, 2025 #7,554 Selikavu said: Smart assist ππ Click to expand... Aah familia nllisahau vipi hiiπ NO SMART ASSIST
Selikavu said: Smart assist ππ Click to expand... Aah familia nllisahau vipi hiiπ NO SMART ASSIST
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,555 NEGAN said: ambacho hakiruhusiwi ni cheating ya network tu Click to expand... Unyama sana, kasimu kangu kakijitoa kwenye game hakuna kurudia ni kukata points tu. Ila ban muhimu kwa wa kwanza kutoka na atakayekosa mechi 2 mfululizo siyo 3 tena π
NEGAN said: ambacho hakiruhusiwi ni cheating ya network tu Click to expand... Unyama sana, kasimu kangu kakijitoa kwenye game hakuna kurudia ni kukata points tu. Ila ban muhimu kwa wa kwanza kutoka na atakayekosa mechi 2 mfululizo siyo 3 tena π
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,556 Selikavu said: Smart assist ππ Click to expand... Smart assist hairuhusiwi ukigundulika unaombewa ban π
Selikavu said: Smart assist ππ Click to expand... Smart assist hairuhusiwi ukigundulika unaombewa ban π
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 Jul 29, 2025 #7,557 Razorblade said: Unyama sana, kasimu kangu kakijitoa kwenye game hakuna kurudia ni kukata points tu. Ila ban muhimu kwa wa kwanza kutoka na atakayekosa mechi 2 mfululizo siyo 3 tena π Click to expand... Promoter Selikavu hacheki na wowoteπ
Razorblade said: Unyama sana, kasimu kangu kakijitoa kwenye game hakuna kurudia ni kukata points tu. Ila ban muhimu kwa wa kwanza kutoka na atakayekosa mechi 2 mfululizo siyo 3 tena π Click to expand... Promoter Selikavu hacheki na wowoteπ
NEGAN JF-Expert Member Joined May 12, 2023 Posts 1,764 Reaction score 4,272 Jul 29, 2025 #7,558 Tena vizuri sasa hivi vikosi vyetu almost vimalingana strength challenge itakua kubwa
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,559 NEGAN said: Aah familia nllisahau vipi hiiπ NO SMART ASSIST Click to expand... Ukigundua mpinzani anatumia smart assist unatoa taarifa kabla mechi haijaisha ili tumuombee ban mapema π
NEGAN said: Aah familia nllisahau vipi hiiπ NO SMART ASSIST Click to expand... Ukigundua mpinzani anatumia smart assist unatoa taarifa kabla mechi haijaisha ili tumuombee ban mapema π
Razorblade JF-Expert Member Joined Aug 30, 2019 Posts 5,153 Reaction score 10,394 Jul 29, 2025 #7,560 NEGAN said: Tena vizuri sasa hivi vikosi vyetu almost vimalingana strength challenge itakua kubwa Click to expand... Kabisa mkuu kama mambo yakienda vizuri tournament za mbele mechi ya Final itakuwa streamed live.
NEGAN said: Tena vizuri sasa hivi vikosi vyetu almost vimalingana strength challenge itakua kubwa Click to expand... Kabisa mkuu kama mambo yakienda vizuri tournament za mbele mechi ya Final itakuwa streamed live.