Beki ni kama vile huna Mkuu upande wa subsView attachment 3420952
Wakubwa ushauri nimchukue nani kwenye legends?
Selikavu nipe settings za Owen kufika 104Cannavaro yupo team Adriano sitaki kurudia mkuu
Ila huyu Cannavaro mtu nyie, anakaba mpaka kivuli 😂Beki ni kama vile huna Mkuu upande wa subs
Pita tuu na mtu Mfupi Cannavarro
Yule chukua kakaCannavaro yupo team Adriano sitaki kurudia mkuu
Kocha wako ni wa booster mbili anafika kwa Recommended tuu
😃😃😃 Mi mi hajatokea😃😃😃
Sawaa mkuuAlafu, na mimi pia naomba pambano na Edo kissy au Razorblade hao ndo watu sijacheza nao humu bado 😃
Sawa kaka.. we utaandaa kwa yeyote atakaejichanganya kuja 😄 🤣Sawaa mkuu
Wahusika wamesikia watajibu wenyewe me niandae timetable 😃😃
Mkuu nilikuwa nikichungulia kikosi chako tu hata nikikuona online situmi request 😂Alafu, na mimi pia naomba pambano na Edo kissy au Razorblade hao ndo watu sijacheza nao humu bado 😃
😂😂😂we utaandaa kwa yeyote atakaejichanganya kuja 😄 🤣
😃😃😃 Razorblade kajichanganya😃😃Sawa kaka.. we utaandaa kwa yeyote atakaejichanganya kuja 😄 🤣
Unajua siwezi kukushabikia kaka🤣🤣🤣lolote baya likukute tu huko Room🤣🤣🤣Mkuu nilikuwa nikichungulia kikosi chako tu hata nikikuona online situmi request 😂
Ila sasahivi huwa nikikuona online nakutamani, tutakipiga baada ya maitanance ya Alhamisi 😂
Hahaha kwamba kikosi kilikuwa kinatisha au? 😂Mkuu nilikuwa nikichungulia kikosi chako tu hata nikikuona online situmi request 😂
Ila sasahivi huwa nikikuona online nakutamani, tutakipiga baada ya maitanance ya Alhamisi 😂