eFootball Special Thread



Batigoal wangu nimemfikisha 105, kitu ambacho nilikuwa sijui na nimekijua jana ni kuhusu hizi training guide.

Zinapunguza na kuongeza stats zingine ili rate ipande, jambo la muhimu ni kuwa makini na kujua unataka nini kwa huyo mchezaji kabla hujafurahia kuwa na rate kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…