eFootball Special Thread



Nimekaa naangalia hawa epic halafu najisemea kama ingekuwa ile ya juzi ni selection contract sidhani kama ningepita na kipa, kiu yangu ilikuwa ni CB na SS wa asili.

Ila wakanipa kitu ambacho kikaupoza moyo kwa kiasi kikubwa 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…