eFootball Special Thread

Funny thing ni kwamba tupo equal in strength ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Weka muda mkuu me nitakuwepo kwanza usiku mbali hata saiv tuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 3303570
Hizo collective strength zisikudanganye mkuu subiri muda ufike tuingie uwanjani ๐Ÿ˜‚.

Nitakutafuta kuanzia saa 4 usiku sasahivi mambo yamebana kidogo.
 
Razorblade Nimeenda kuangalia kikosi chako kina mia nyingi kuliko changu na bado collective strength tupo sawaa๐Ÿ˜€sasa sijui wananiwekea mtego
Halafu hii wiki nzima nilikuwa natumia makocha wa kununua kwa GP wenye possession tactic na quick counter tactic kwaajili ya mazoezi na wengi waliyakanyaga baadhi yao ni wenye badge za dvn 2 ๐Ÿ˜‚.
 
Dah hiyo formation inanitesa sana halafu wote wote Selikavu na Edo kissy nnaitumia. 80% ya vipigo na droo zangu zinatokana na hii formation 4312๐Ÿ˜€
 
Dah hiyo formation inanitesa sana halafu wote wote Selikavu na @edokissy nnaitumia. 80% ya vipigo na droo zangu zinatokana na hii formation 4312๐Ÿ˜€
Ile ya 4222 nilipigwa kama ngoma nilivyoingia div 3 nikaona nilud kwenye formation yangu pendwa๐Ÿ˜€ hapa natafuta destroyer au Anchorman namba sita Guardiola asogee mbele kidogo wakae na Rice.....

Rodri wa 101 naona yupo sokoni sasa nina coin mia nawaza nijaribu au nipotezee tuu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Rodri ana mwendo wa kobe watakubonda uchakae๐Ÿ˜€
 
Kumtumia DM(Orchestrator) kwenye mfumo wa 4-3-1-2 ni hatari sana ๐Ÿ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ